Johnson12345
JF-Expert Member
- May 29, 2023
- 207
- 498
KapimeYaani nilee mbegu ya mtu mwingine ya kubambikiziwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KapimeYaani nilee mbegu ya mtu mwingine ya kubambikiziwa?
😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡Jua kabisa kitanda hakizai haramu"...
Ni mkuu ni ndoa ya church au msikitini??Umeonae najaribu kuwaza japo najua ni wapi nilikosea
Kapime mkuu.Wa kulea shahawa za mwrnzangu huku navhekelea harafu wao wakikutana wanasema Yule fala tumemuweza
Yah sahihiYou should be a social father by choice, not by being fooled.
Akili za Kabudi muachie Kabudi mwenyewe akazitumie kutoa macho.
No kule hakuna taratibu kama za hukuKweli itabidi niende nairobi....kule hawatumii sheria kama za Tanazania?
Nisije kukamatwa nauza viungo vya binadamu😅😅
Laki hakuna barua wala mashart auPesa sio shida walishasema ni laki moja tu kwa kichwa
Masharti kibao😅😅Laki hakuna barua wala mashart au
Nikimaanisha kauli ya Kitanda hakizai haramu punguza kukurupuka we mtu mfyuuuUpumbavu upo wapi.
Bush Dokta
Sikia kaka hawa wanawake hawanashida kumbambikizia mtoto me, coz huyo mtoto yeye ni wake a wewe sio wake kwa hio hata ukimsamehe yeye hepatitis maumivu yeyote, hata wewe akijua umeumia kaangalie paternity court utaelewa
Nina uhakika huu msemo ulianzishwa na Mwanamke.Kitanda hakizai haramu
Ulipora demu wa mtu?Umeonae najaribu kuwaza japo najua ni wapi nilikosea