Kwa miezi 12 sasa moyo wangu unateketea. Nahisi huyu Mtoto sio wangu

Kwa miezi 12 sasa moyo wangu unateketea. Nahisi huyu Mtoto sio wangu

Tafuta milioni ukapime DNA , ila hakikisha una moyo mgumu haswa na hofu ya Mungu ili ikitokea ndivyo sivyo basi usidhuru mtu au kujidhuru mwenyewe. kama unajua huna moyo mgumu na hofu ya Mungu Usipime DNA maana kuuwa ni nje nje.

Kupima DNA ni laki tatu tuu baba, mama na mtoto unaemuhisi.. hiyo laki saba inayo baki ni mwanasheria , nauli , malazi na chakula
Mwanasheria anachukua nyingi kuliko gharama ya kipimo?
 
Umeambiwa umebambikizwa?
Lea ni Mwanao...
Hivi ukimwekea chuki huyo mtoto asiyekuwa na makosa kabisa, unafikiri itakuwaje?

Sikiliza kuwa Social father is good enough.

Fikiri kama Baba mawazo yakubambikiziwa yatakuumiza.
Au hata ukipata hiyo chance ya kupima DNA ukagundua kuwa ni mtoto wako, itakuumiza zaidi. due to hatred inayojizalishia sasa.

"Jua kabisa kitanda hakizai haramu"...
Ujue mkuu shida sio mtoto??
Kwa mimi navyoona ni kua na mahusiano na huyo baba wa mtoto.

Yaani unaishi na mwanamke ambae ana mume mwingine somewhere. Unamlisha, unamvisha lakini kuna njemba nayo inajipigia bure tu.
What if hiyo njemba ikatia mimba nyingine bado utaelea kisa kitanda hakizai haramu??

Jamaa apate uhakika tu aishi kwa amani.
 
Ujue mkuu shida sio mtoto??
Kwa mimi navyoona ni kua na mahusiano na huyo baba wa mtoto.

Yaani unaishi na mwanamke ambae ana mume mwingine somewhere. Unamlisha, unamvisha lakini kuna njemba nayo inajipigia bure tu.
What if hiyo njemba ikatia mimba nyingine bado utaelea kisa kitanda hakizai haramu??

Jamaa apate uhakika tu aishi kwa amani.
Sahihi
 
Kwenye rangi hapo usijali ila kwenye uwalaza mzee wangu hapo lazima u-judge komaa mzee tafuta pesa ukachek DNA
 
Ujue mkuu shida sio mtoto??
Kwa mimi navyoona ni kua na mahusiano na huyo baba wa mtoto.

Yaani unaishi na mwanamke ambae ana mume mwingine somewhere. Unamlisha, unamvisha lakini kuna njemba nayo inajipigia bure tu.
What if hiyo njemba ikatia mimba nyingine bado utaelea kisa kitanda hakizai haramu??

Jamaa apate uhakika tu aishi kwa amani.
Mambo mazito sana haya jamani!!
 

Kapime tu DNA
 
Wakuu mganga hajigangi, mimi kama Bush Dokta sio dokta wa mauzauza bali ni dokta Herbalist yaani wa mitishamba.

Sasa nina mtoto amezaliwa miezi 12 iliyopita. Mimi ni mweusi Tii, Mama ni maji ya kunde ila mtoto amekuwa maji ya kunde zaidi ya Mama yake.

Hata kama mimi sio msomi wa sayansi kubwa lakini naamini mchanganyiko wa mbegu nyeusi na maji ya kunde lazima ije zao ya kati kati.

Sasa nikawa najipa muda labda atabadilika kadiri muda unavyosonga lakini wapi ndio kwanza anazidi kuwa white. Sasa kuna siku Mama kaja kutembea na kumuona mtoto akiwa na kama miezi miwili hivi.

Nikiwa nimelala ndani nikasikia Mama anahoji Mke wangu akimuuliza kama stori tu kuwa huyo mjukuu anafanana na nani mbona ana kiwaraza? Mimi sina na mama yake hana. Tena akahoji mbona mweupe sana?

Ni kama kulikuwa na mahojiano serious ikafika mahali akamuuliza leta picha za wajomba zake tuone.

Hapa inaonekana Wife alimwambia anafafanana ujombani. Mama alimkomalia ndio wife akaja ndani kuniuliza kama nina picha za shemeji zangu kwenye simu. Nikamwambia sina basi ikaishia hapo.

Niliendelea kuwaza na kuwazua. Nikifikiria nimefanya uwekezaji mkubwa kwenye familia yangu na msimamizi amekuwa yeye siku zote.

Sijawahi mwambia ila tangu hapo sina hamu naye kabisa. Ni miezi 12 sasa. Hata uwezo wangu wa kuchapa kazi sasa unapungua nina stress kiasi.

Nimejaribu kuvumilia nimeona nije hapa nipate mawazo mawili matatu nianzie wapi?
Naomba kuuliza mganga wa kienyeji mpiga ramli hawezi kuicheki hii kwa darubin zake?!
 
Yaani nilee mbegu ya mtu mwingine ya kubambikiziwa?

Hiyo ni issue ndogo sana. Lea mtoto went. Hizo hisia zingine achana nazo, usije ukafa siku si zako. Halafu kwenye sayansi za viumbe siyo lazima kila uzao uwe unafanana na immediate relatives.
Ulivyoandika mii nikafikiri ni mchina.
 
Hiyo ni issue ndogo sana. Lea mtoto went. Hizo hisia zingine achana nazo, usije ukafa siku si zako. Halafu kwenye sayansi za viumbe siyo lazima kila uzao uwe unafanana na immediate relatives.
Ulivyoandika mii nikafikiri ni mchina.
😅😅😅nina future na wanangu. I can not take things for Granted.
 
MIMI HUWA NAWAAMBIA KILASIKU, HATA MUNGU ARUDIE KUUMBA UPYA DUNIA, DAIMA MILELE NI LAZIMA MTOTO AKIZALIWA AWE WA KIKE AU KIUME NI LAZIMA AFANANE NA BABA KWA NAMNA YOYOTE ILE, BILA KUNGOJA AFIKISHE UMRI FULANI...
In short ukiona mwanao kila ukimzoom hafanani na wewe brother huitaji DNA kujua hilo toto sio lako.... Eti kitanda hakizai haramu manyoko fukuza huyo mwanamke akifie mbele...
All in all, KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI...
 
Wife kajiongeza japo alete bahati nyumbani,rangi nyeusi kuitafuta Mali ni damu na jasho lakini hizo rangi za fanta au jogoo Wana ngekewa so tulizana. Huyo ndiye bahati yako maana na rangi yako ya WAHA utasanda.
 
MIMI HUWA NAWAAMBIA KILASIKU, HATA MUNGU ARUDIE KUUMBA UPYA DUNIA, DAIMA MILELE NI LAZIMA MTOTO AKIZALIWA AWE WA KIKE AU KIUME NI LAZIMA AFANANE NA BABA KWA NAMNA YOYOTE ILE, BILA KUNGOJA AFIKISHE UMRI FULANI...
In short ukiona mwanao kila ukimzoom hafanani na wewe brother huitaji DNA kujua hilo toto sio lako.... Eti kitanda hakizai haramu manyoko fukuza huyo mwanamke akifie mbele...
All in all, KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI...
Ukute ulilelewa na wakufikia.
 
Back
Top Bottom