Kwa miezi 12 sasa moyo wangu unateketea. Nahisi huyu Mtoto sio wangu

Kwa miezi 12 sasa moyo wangu unateketea. Nahisi huyu Mtoto sio wangu

Wakuu mganga hajigangi, mimi kama Bush Dokta sio dokta wa mauzauza bali ni dokta Herbalist yaani wa mitishamba.

Sasa nina mtoto amezaliwa miezi 12 iliyopita. Mimi ni mweusi Tii, Mama ni maji ya kunde ila mtoto amekuwa maji ya kunde zaidi ya Mama yake.

Hata kama mimi sio msomi wa sayansi kubwa lakini naamini mchanganyiko wa mbegu nyeusi na maji ya kunde lazima ije zao ya kati kati.

Sasa nikawa najipa muda labda atabadilika kadiri muda unavyosonga lakini wapi ndio kwanza anazidi kuwa white. Sasa kuna siku Mama kaja kutembea na kumuona mtoto akiwa na kama miezi miwili hivi.

Nikiwa nimelala ndani nikasikia Mama anahoji Mke wangu akimuuliza kama stori tu kuwa huyo mjukuu anafanana na nani mbona ana kiwaraza? Mimi sina na mama yake hana. Tena akahoji mbona mweupe sana?

Ni kama kulikuwa na mahojiano serious ikafika mahali akamuuliza leta picha za wajomba zake tuone.

Hapa inaonekana Wife alimwambia anafafanana ujombani. Mama alimkomalia ndio wife akaja ndani kuniuliza kama nina picha za shemeji zangu kwenye simu. Nikamwambia sina basi ikaishia hapo.

Niliendelea kuwaza na kuwazua. Nikifikiria nimefanya uwekezaji mkubwa kwenye familia yangu na msimamizi amekuwa yeye siku zote.

Sijawahi mwambia ila tangu hapo sina hamu naye kabisa. Ni miezi 12 sasa. Hata uwezo wangu wa kuchapa kazi sasa unapungua nina stress kiasi.

Nimejaribu kuvumilia nimeona nije hapa nipate mawazo mawili matatu nianzie wapi?
Hey! The Muzee, kitanda haizai haramu, chutama chini Muachie Mungu. Solutions
1 & only mtoto Kesha kua huyo chapa wa pili na watatu fasta ili apate adabu na kumkep bize, you will enjoy
 
Pole sana Dr,nashida na tatizo la nyongo kujaa nifanyeje nilimalize asee
 
Wakuu mganga hajigangi, mimi kama Bush Dokta sio dokta wa mauzauza bali ni dokta Herbalist yaani wa mitishamba.

Sasa nina mtoto amezaliwa miezi 12 iliyopita. Mimi ni mweusi Tii, Mama ni maji ya kunde ila mtoto amekuwa maji ya kunde zaidi ya Mama yake.

Hata kama mimi sio msomi wa sayansi kubwa lakini naamini mchanganyiko wa mbegu nyeusi na maji ya kunde lazima ije zao ya kati kati.

Sasa nikawa najipa muda labda atabadilika kadiri muda unavyosonga lakini wapi ndio kwanza anazidi kuwa white. Sasa kuna siku Mama kaja kutembea na kumuona mtoto akiwa na kama miezi miwili hivi.

Nikiwa nimelala ndani nikasikia Mama anahoji Mke wangu akimuuliza kama stori tu kuwa huyo mjukuu anafanana na nani mbona ana kiwaraza? Mimi sina na mama yake hana. Tena akahoji mbona mweupe sana?

Ni kama kulikuwa na mahojiano serious ikafika mahali akamuuliza leta picha za wajomba zake tuone.

Hapa inaonekana Wife alimwambia anafafanana ujombani. Mama alimkomalia ndio wife akaja ndani kuniuliza kama nina picha za shemeji zangu kwenye simu. Nikamwambia sina basi ikaishia hapo.

Niliendelea kuwaza na kuwazua. Nikifikiria nimefanya uwekezaji mkubwa kwenye familia yangu na msimamizi amekuwa yeye siku zote.

Sijawahi mwambia ila tangu hapo sina hamu naye kabisa. Ni miezi 12 sasa. Hata uwezo wangu wa kuchapa kazi sasa unapungua nina stress kiasi.

Nimejaribu kuvumilia nimeona nije hapa nipate mawazo mawili matatu nianzie wapi?
Ni mtihani mgumu sana kuhudumia bao la mwanaume mwenzako,
Wanawake watatumaliza
 
Wakuu mganga hajigangi, mimi kama Bush Dokta sio dokta wa mauzauza bali ni dokta Herbalist yaani wa mitishamba.

Sasa nina mtoto amezaliwa miezi 12 iliyopita. Mimi ni mweusi Tii, Mama ni maji ya kunde ila mtoto amekuwa maji ya kunde zaidi ya Mama yake.

Hata kama mimi sio msomi wa sayansi kubwa lakini naamini mchanganyiko wa mbegu nyeusi na maji ya kunde lazima ije zao ya kati kati.

Sasa nikawa najipa muda labda atabadilika kadiri muda unavyosonga lakini wapi ndio kwanza anazidi kuwa white. Sasa kuna siku Mama kaja kutembea na kumuona mtoto akiwa na kama miezi miwili hivi.

Nikiwa nimelala ndani nikasikia Mama anahoji Mke wangu akimuuliza kama stori tu kuwa huyo mjukuu anafanana na nani mbona ana kiwaraza? Mimi sina na mama yake hana. Tena akahoji mbona mweupe sana?

Ni kama kulikuwa na mahojiano serious ikafika mahali akamuuliza leta picha za wajomba zake tuone.

Hapa inaonekana Wife alimwambia anafafanana ujombani. Mama alimkomalia ndio wife akaja ndani kuniuliza kama nina picha za shemeji zangu kwenye simu. Nikamwambia sina basi ikaishia hapo.

Niliendelea kuwaza na kuwazua. Nikifikiria nimefanya uwekezaji mkubwa kwenye familia yangu na msimamizi amekuwa yeye siku zote.

Sijawahi mwambia ila tangu hapo sina hamu naye kabisa. Ni miezi 12 sasa. Hata uwezo wangu wa kuchapa kazi sasa unapungua nina stress kiasi.

Nimejaribu kuvumilia nimeona nije hapa nipate mawazo mawili matatu nianzie wapi?
Chochote kilichopatikana kwenye marital home ni cha kwako.

Hivi mtu ukilima shamba halafu mwehu akaja kupalilia shamba hilo litakuwa lake ?

Stress zingine mnajitafutia tu kwa makusudi.
 
Wazee wa zamani walikuwa wanazalishiwa wake zao na wanajua kuwa mtoto siyo wao lakini wanalea tu happily sasa wewe unataka kujitia umaskini na stress kwa jambo linalovumilika.

Au haukumuoa kwa ndoa huyo mke ?
 
Umejiunga jamii forums tarehe 11 April 2023. Lkn una post 1538. Kwa vyovyote hii itakuwa chai. Nilipotaka nichangie nikaamua kupitia kwanza profile yako.
 
Hata hio hali iliwahi kunifika ila kadri siku ziendavyo kila mtu anaemuona mtoto wangu anadai mama ake hajapata kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni mimi mtupu hatimae nikapata amani sasa.

Maana mwanzo mtoto alikuwa na mwanya nikawa sielewi elewi inakuwaje na midole kama virungu vya bendi [emoji3] nikahisi vitu vya ajabu. Sahizi nataka nikampime damu kimya kimya bila mamaake kujua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Imebidi nikoment.... Eti virungu vya bendi... Una nini lakini [emoji1787][emoji1787]
 
Natafuta njia ya kumwambia tukapime niwe na uhakika
Usimwambie. Tfta namna uende wewe na mtt Ili hata ikionekana ni wako basi yy asipate kuumia kihisia. Tofaut na mwende wote halaf ikaonekane ni wako aisee utakua umemuumiza pakubwa sana na sasa ataona ngoja tu ai supply na huko nje kidogo ili kupata different appetite
 
Usimwambie. Tfta namna uende wewe na mtt Ili hata ikionekana ni wako basi yy asipate kuumia kihisia. Tofaut na mwende wote halaf ikaonekane ni wako aisee utakua umemuumiza pakubwa sana na sasa ataona ngoja tu ai supply na huko nje kidogo ili kupata different appetite
Hahaha duuh balaa sasa hii
 
Tanzania ukipima DNA mtoto ni wako tu hata kama sio wako! Pole kwa unayopitia
 
Upuuzi huu. Ni mwamaume asiye kuwa na akili anayeweza kule mtoto sio wake bila hiyari yake.
Umeambiwa umebambikizwa?
Lea ni Mwanao...
Hivi ukimwekea chuki huyo mtoto asiyekuwa na makosa kabisa, unafikiri itakuwaje?

Sikiliza kuwa Social father is good enough.

Fikiri kama Baba mawazo yakubambikiziwa yatakuumiza.
Au hata ukipata hiyo chance ya kupima DNA ukagundua kuwa ni mtoto wako, itakuumiza zaidi. due to hatred inayojizalishia sasa.

"Jua kabisa kitanda hakizai haramu"...
 
Chochote kilichopatikana kwenye marital home ni cha kwako.

Hivi mtu ukilima shamba halafu mwehu akaja kupalilia shamba hilo litakuwa lake ?

Stress zingine mnajitafutia tu kwa makusudi.
Upuuzi huu
 
Hata hio hali iliwahi kunifika ila kadri siku ziendavyo kila mtu anaemuona mtoto wangu anadai mama ake hajapata kitu 🤣🤣🤣 ni mimi mtupu hatimae nikapata amani sasa.

Maana mwanzo mtoto alikuwa na mwanya nikawa sielewi elewi inakuwaje na midole kama virungu vya bendi 😀 nikahisi vitu vya ajabu. Sahizi nataka nikampime damu kimya kimya bila mamaake kujua.
Bado amani haijakurejea😅😅
 
Back
Top Bottom