edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Umesoma vizuri wewe nilichoandika au umekurupukaHii biology ya wapi mtoto arithi tena 60% kutoka kwa babu yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma vizuri wewe nilichoandika au umekurupukaHii biology ya wapi mtoto arithi tena 60% kutoka kwa babu yake?
Hey! The Muzee, kitanda haizai haramu, chutama chini Muachie Mungu. SolutionsWakuu mganga hajigangi, mimi kama Bush Dokta sio dokta wa mauzauza bali ni dokta Herbalist yaani wa mitishamba.
Sasa nina mtoto amezaliwa miezi 12 iliyopita. Mimi ni mweusi Tii, Mama ni maji ya kunde ila mtoto amekuwa maji ya kunde zaidi ya Mama yake.
Hata kama mimi sio msomi wa sayansi kubwa lakini naamini mchanganyiko wa mbegu nyeusi na maji ya kunde lazima ije zao ya kati kati.
Sasa nikawa najipa muda labda atabadilika kadiri muda unavyosonga lakini wapi ndio kwanza anazidi kuwa white. Sasa kuna siku Mama kaja kutembea na kumuona mtoto akiwa na kama miezi miwili hivi.
Nikiwa nimelala ndani nikasikia Mama anahoji Mke wangu akimuuliza kama stori tu kuwa huyo mjukuu anafanana na nani mbona ana kiwaraza? Mimi sina na mama yake hana. Tena akahoji mbona mweupe sana?
Ni kama kulikuwa na mahojiano serious ikafika mahali akamuuliza leta picha za wajomba zake tuone.
Hapa inaonekana Wife alimwambia anafafanana ujombani. Mama alimkomalia ndio wife akaja ndani kuniuliza kama nina picha za shemeji zangu kwenye simu. Nikamwambia sina basi ikaishia hapo.
Niliendelea kuwaza na kuwazua. Nikifikiria nimefanya uwekezaji mkubwa kwenye familia yangu na msimamizi amekuwa yeye siku zote.
Sijawahi mwambia ila tangu hapo sina hamu naye kabisa. Ni miezi 12 sasa. Hata uwezo wangu wa kuchapa kazi sasa unapungua nina stress kiasi.
Nimejaribu kuvumilia nimeona nije hapa nipate mawazo mawili matatu nianzie wapi?
Nipe njia ya hili jambo.Usimwambie fanya siri. Kama una uwezo tafuta vipimo vya mtoto kama nywele au kucha unaenda zako nairobi kupima
Wako = maisha yanaendeleaMfano ukikuta ni wako au sio wako?
Ni mtihani mgumu sana kuhudumia bao la mwanaume mwenzako,Wakuu mganga hajigangi, mimi kama Bush Dokta sio dokta wa mauzauza bali ni dokta Herbalist yaani wa mitishamba.
Sasa nina mtoto amezaliwa miezi 12 iliyopita. Mimi ni mweusi Tii, Mama ni maji ya kunde ila mtoto amekuwa maji ya kunde zaidi ya Mama yake.
Hata kama mimi sio msomi wa sayansi kubwa lakini naamini mchanganyiko wa mbegu nyeusi na maji ya kunde lazima ije zao ya kati kati.
Sasa nikawa najipa muda labda atabadilika kadiri muda unavyosonga lakini wapi ndio kwanza anazidi kuwa white. Sasa kuna siku Mama kaja kutembea na kumuona mtoto akiwa na kama miezi miwili hivi.
Nikiwa nimelala ndani nikasikia Mama anahoji Mke wangu akimuuliza kama stori tu kuwa huyo mjukuu anafanana na nani mbona ana kiwaraza? Mimi sina na mama yake hana. Tena akahoji mbona mweupe sana?
Ni kama kulikuwa na mahojiano serious ikafika mahali akamuuliza leta picha za wajomba zake tuone.
Hapa inaonekana Wife alimwambia anafafanana ujombani. Mama alimkomalia ndio wife akaja ndani kuniuliza kama nina picha za shemeji zangu kwenye simu. Nikamwambia sina basi ikaishia hapo.
Niliendelea kuwaza na kuwazua. Nikifikiria nimefanya uwekezaji mkubwa kwenye familia yangu na msimamizi amekuwa yeye siku zote.
Sijawahi mwambia ila tangu hapo sina hamu naye kabisa. Ni miezi 12 sasa. Hata uwezo wangu wa kuchapa kazi sasa unapungua nina stress kiasi.
Nimejaribu kuvumilia nimeona nije hapa nipate mawazo mawili matatu nianzie wapi?
Ni kauli flani za wapumbavu katika jitihada za kujaribu kuhamasisha na kuhalisha uzinziHiyo kauli ya kitanda hakizai haramu ni ya kijinga sana
Chochote kilichopatikana kwenye marital home ni cha kwako.Wakuu mganga hajigangi, mimi kama Bush Dokta sio dokta wa mauzauza bali ni dokta Herbalist yaani wa mitishamba.
Sasa nina mtoto amezaliwa miezi 12 iliyopita. Mimi ni mweusi Tii, Mama ni maji ya kunde ila mtoto amekuwa maji ya kunde zaidi ya Mama yake.
Hata kama mimi sio msomi wa sayansi kubwa lakini naamini mchanganyiko wa mbegu nyeusi na maji ya kunde lazima ije zao ya kati kati.
Sasa nikawa najipa muda labda atabadilika kadiri muda unavyosonga lakini wapi ndio kwanza anazidi kuwa white. Sasa kuna siku Mama kaja kutembea na kumuona mtoto akiwa na kama miezi miwili hivi.
Nikiwa nimelala ndani nikasikia Mama anahoji Mke wangu akimuuliza kama stori tu kuwa huyo mjukuu anafanana na nani mbona ana kiwaraza? Mimi sina na mama yake hana. Tena akahoji mbona mweupe sana?
Ni kama kulikuwa na mahojiano serious ikafika mahali akamuuliza leta picha za wajomba zake tuone.
Hapa inaonekana Wife alimwambia anafafanana ujombani. Mama alimkomalia ndio wife akaja ndani kuniuliza kama nina picha za shemeji zangu kwenye simu. Nikamwambia sina basi ikaishia hapo.
Niliendelea kuwaza na kuwazua. Nikifikiria nimefanya uwekezaji mkubwa kwenye familia yangu na msimamizi amekuwa yeye siku zote.
Sijawahi mwambia ila tangu hapo sina hamu naye kabisa. Ni miezi 12 sasa. Hata uwezo wangu wa kuchapa kazi sasa unapungua nina stress kiasi.
Nimejaribu kuvumilia nimeona nije hapa nipate mawazo mawili matatu nianzie wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Imebidi nikoment.... Eti virungu vya bendi... Una nini lakini [emoji1787][emoji1787]Hata hio hali iliwahi kunifika ila kadri siku ziendavyo kila mtu anaemuona mtoto wangu anadai mama ake hajapata kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni mimi mtupu hatimae nikapata amani sasa.
Maana mwanzo mtoto alikuwa na mwanya nikawa sielewi elewi inakuwaje na midole kama virungu vya bendi [emoji3] nikahisi vitu vya ajabu. Sahizi nataka nikampime damu kimya kimya bila mamaake kujua.
Usimwambie. Tfta namna uende wewe na mtt Ili hata ikionekana ni wako basi yy asipate kuumia kihisia. Tofaut na mwende wote halaf ikaonekane ni wako aisee utakua umemuumiza pakubwa sana na sasa ataona ngoja tu ai supply na huko nje kidogo ili kupata different appetiteNatafuta njia ya kumwambia tukapime niwe na uhakika
Pole Mwamba!!Mwehu akishiba ugali hutoa ushuzi mdomoi badala ya maneno yenye tija... umeshiba ugali mkuu. Tulia usiropoke ropoke
Hahaha duuh balaa sasa hiiUsimwambie. Tfta namna uende wewe na mtt Ili hata ikionekana ni wako basi yy asipate kuumia kihisia. Tofaut na mwende wote halaf ikaonekane ni wako aisee utakua umemuumiza pakubwa sana na sasa ataona ngoja tu ai supply na huko nje kidogo ili kupata different appetite
Umeambiwa umebambikizwa?
Lea ni Mwanao...
Hivi ukimwekea chuki huyo mtoto asiyekuwa na makosa kabisa, unafikiri itakuwaje?
Sikiliza kuwa Social father is good enough.
Fikiri kama Baba mawazo yakubambikiziwa yatakuumiza.
Au hata ukipata hiyo chance ya kupima DNA ukagundua kuwa ni mtoto wako, itakuumiza zaidi. due to hatred inayojizalishia sasa.
"Jua kabisa kitanda hakizai haramu"...
Hahahah yani we acha tu kulea bao la mtu stress sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Imebidi nikoment.... Eti virungu vya bendi... Una nini lakini [emoji1787][emoji1787]
Upuuzi huuChochote kilichopatikana kwenye marital home ni cha kwako.
Hivi mtu ukilima shamba halafu mwehu akaja kupalilia shamba hilo litakuwa lake ?
Stress zingine mnajitafutia tu kwa makusudi.
Bado amani haijakurejea😅😅Hata hio hali iliwahi kunifika ila kadri siku ziendavyo kila mtu anaemuona mtoto wangu anadai mama ake hajapata kitu 🤣🤣🤣 ni mimi mtupu hatimae nikapata amani sasa.
Maana mwanzo mtoto alikuwa na mwanya nikawa sielewi elewi inakuwaje na midole kama virungu vya bendi 😀 nikahisi vitu vya ajabu. Sahizi nataka nikampime damu kimya kimya bila mamaake kujua.