Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Pole kuzaliwa nje ya ndoa, jitahidi mkeo na wewe asikuzalie watoto ambao sio wako...Ukute ulilelewa na wakufikia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kuzaliwa nje ya ndoa, jitahidi mkeo na wewe asikuzalie watoto ambao sio wako...Ukute ulilelewa na wakufikia.
😅😅😅nina future na wanangu. I can not take things for Granted.
Usimdanganye ashakuwa na kitu kichwani hawezi kuignore mwambie apime tuFanya kazi ndugu, hizi mambo sio za leo wala jana na haziishii lei wala kesho just ignore!
Kuna dawa fulani hivi nina haja nayo nitaipata kwako doctor?
Sasa unachosubiri ni nini?Pesa sio shida walishasema ni laki moja tu kwa kichwa
Nikiwa na uhakika future yake ni wajibu wanguHuyo pia ni mwanao. Na si ajabu atakuwa na future na wewe. Mpe upendo unaostahili. Naye atafanya hivyo.
Nimeanza mchakatoSasa unachosubiri ni nini?
Kulete matusi kwa hoja ndogo kama hiyo inadhihirisha wewe ulikuwa kishoka tu huna hadhi ya kufanya kwenye ofisi yenye heshima kama GCLAHaya sawa unajifanya mbishi fala wewe me nilishafanya kazi huko Usiwe mbishi shoga wewe
Naaam
quotation marks?!Mkuu ndio maana nimeweka quotation marks,
Ila pia siwezifika conclusion kwakua wewe ulichonacho sasa ni hisia tu huna uhakika.
Doni gani mkeo anazalishwa na madogo mtaani?Sisi madoni hatupigii njaa
Ni mkeoWakuu mganga hajigangi, mimi kama Bush Dokta sio dokta wa mauzauza bali ni dokta Herbalist yaani wa mitishamba.
Sasa nina mtoto amezaliwa miezi 12 iliyopita. Mimi ni mweusi Tii, Mama ni maji ya kunde ila mtoto amekuwa maji ya kunde zaidi ya Mama yake.
Hata kama mimi sio msomi wa sayansi kubwa lakini naamini mchanganyiko wa mbegu nyeusi na maji ya kunde lazima ije zao ya kati kati.
Sasa nikawa najipa muda labda atabadilika kadiri muda unavyosonga lakini wapi ndio kwanza anazidi kuwa white. Sasa kuna siku Mama kaja kutembea na kumuona mtoto akiwa na kama miezi miwili hivi.
Nikiwa nimelala ndani nikasikia Mama anahoji Mke wangu akimuuliza kama stori tu kuwa huyo mjukuu anafanana na nani mbona ana kiwaraza? Mimi sina na mama yake hana. Tena akahoji mbona mweupe sana?
Ni kama kulikuwa na mahojiano serious ikafika mahali akamuuliza leta picha za wajomba zake tuone.
Hapa inaonekana Wife alimwambia anafafanana ujombani. Mama alimkomalia ndio wife akaja ndani kuniuliza kama nina picha za shemeji zangu kwenye simu. Nikamwambia sina basi ikaishia hapo.
Niliendelea kuwaza na kuwazua. Nikifikiria nimefanya uwekezaji mkubwa kwenye familia yangu na msimamizi amekuwa yeye siku zote.
Sijawahi mwambia ila tangu hapo sina hamu naye kabisa. Ni miezi 12 sasa. Hata uwezo wangu wa kuchapa kazi sasa unapungua nina stress kiasi.
Nimejaribu kuvumilia nimeona nije hapa nipate mawazo mawili matatu nianzie wapi?
Mwambie tuu , udiogope akadilike utabaki mpaka unahofu mimi mwenzio nilimchana liveNatafuta njia ya kumwambia tukapime niwe na uhakika
Mmmmh unajua wanawake wewe.Mkuu tuliza kichwa jibu utalipata tu..
Mtoto kama sio wako dalili utaziona tu badae mkija kuongea kama alifanya kosa alafu unataka kumrekebisha tabia.....utaona dalili kutoka kwa mama ake pia.
Baada ya kumchana ikawaje?Mwambie tuu , udiogope akadilike utabaki mpaka unahofu mimi mwenzio nilimchana live
Upumbavu upo wapi.Kauli ya kipumbavu sana hiyo, nzuri kumtamkia mwingine