Kwa migogoro inayoibuka baada ya vifo vya wenye hela, nadiriki kusema "kuwa na pesa nyingi ni kukaribisha balaa kwa familia"

Kwa migogoro inayoibuka baada ya vifo vya wenye hela, nadiriki kusema "kuwa na pesa nyingi ni kukaribisha balaa kwa familia"

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Tuliyaona kwa Dr. Mengi.
Tukayaona kwa Mrema.
Tukayaona kwa bilionea Msuya.
Tukayaona kwa Dr. Likwelile.
Tumeyasikia kwa Hans Pope.
Na sasa yameibuka kwa Dr. Mwele.

Ndipo hapa naona hakuna maana ya watu kutafuta pesa kwa ajili ya watoto wao.

Usije na wimbo wa kwamba "watu waandike wosia kuukwepa hii migogoro.

Mzee Mengi aliacha wosia kabisa! Lakini wakware wakaitumia Mahakama kupangua alichokipanga marehemu.
 
Kwa mwele kumetokea nini?

nwanaume mweusi Kama una hela nyingi. Usifunge ndoa

Mfano Ruge kafariki hakuna mgogoro.

Bilionea arusha aliepata ajali na ndege yake bob sambeke alifariki ila hakuna mgogoro sabab hakuwai kuoa

ila angekuwa na mke wa ndoa. Mgogoro lazima ungekuwepo na Wangeuana
 
Africans are ill cultured savages. Meanwhile they think it's okay to reap where they haven't sown.

I mean, the level of entitlement of some Africans defies ordinary comprehension.

Yaani mali nitafute mimi halafu yatokee majitu yakae yanasubiri nife ili yarithi. Yuuukh......​
 
Back
Top Bottom