Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba ya vyumba vingapi??nINA milioni 15 CASH na kiwanja kipo kigamboni nataka kujenga naomba kujua kwa pesa hiyo naweza kukamilisha nyumba nikahamia kabisa?
Ndugu yangu kahela hako kiduchu mahitaji mengi kiukweli sina zaidi tu ya kupata angalau vyumba viwli na sebule na kijiko mkwara inatosha kabisa.ainisha mahitaji yako ktk hiyo nyumba mfano idadi ya vyumba,jiko,stoo,vyoo n.k tukupe makadirio
Nyumba hata kama iwe kama kituo cha polisi yaani chumba na sebule tu inatosha ili nimkimbie Mama mwenye nyumba aisee
dah inatosha kabisa kuanzia maishaHiyo hela inatosha kabisa.. unapata vyumba viwili na sebule..
Ila ni zile nyumba kama ndefu kama mabanda ya uani.. hapo sebule inakuwa kati kati vyumba pembeni kushoto na kulia
Kwa hiyo hela unaijenga kali sana.. ya kuanzia maisha
Utajenga mpaka inapoishia kuongea kibantu tena room 4 tuuNina milioni 15 CASH na kiwanja kipo kigamboni nataka kujenga naomba kujua kwa pesa hiyo naweza kukamilisha nyumba nikahamia kabisa?
Polis post unajenga na chenchi inabaki.Nina milioni 15 CASH na kiwanja kipo kigamboni nataka kujenga naomba kujua kwa pesa hiyo naweza kukamilisha nyumba nikahamia kabisa?
Mpigie na hesabu ya Choo, shimo la Choo pamoja na kulijengea, pesa ndogo Sana hiyo, inaweza ikatoka lakin ambayo haijapigwa plasta wala sealing board, sakafu? Kifusi, hela ya ufundi? Maji?Hiyo hela inatosha kabisa.. unapata vyumba viwili na sebule..
Ila ni zile nyumba kama ndefu kama mabanda ya uani.. hapo sebule inakuwa kati kati vyumba pembeni kushoto na kulia
Kwa hiyo hela unaijenga kali sana.. ya kuanzia maisha
Mpigie na hesabu ya Choo, shimo la Choo pamoja na kulijengea, pesa ndogo Sana hiyo, inaweza ikatoka lakin ambayo haijapigwa plasta wala sealing board, sakafu? Kifusi, hela ya ufundi? Maji?
Hembu orodhesha kila kitu pamoja na hela ya ufundi, kupaua na Choo nione hiyo kali Sana kwa hela hiyo inatokaje pamoja na madirisha na milango
Kama kawaida yenu wajuaji jamii forum ambao bado mmepanga🤣🤣🤣Mpigie na hesabu ya Choo, shimo la Choo pamoja na kulijengea, pesa ndogo Sana hiyo, inaweza ikatoka lakin ambayo haijapigwa plasta wala sealing board, sakafu? Kifusi, hela ya ufundi? Maji?
Hembu orodhesha kila kitu pamoja na hela ya ufundi, kupaua na Choo nione hiyo kali Sana kwa hela hiyo inatokaje pamoja na madirisha na milango
SawqKama kawaida yenu wajuaji jamii forum ambao bado mmepanga🤣🤣🤣
Kali sana 🙏Mzigo huo hapo ushindwe weweView attachment 3100570