Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
😅😅😅😅Basi gari anunue Toyota Hilux imsaidie kubeba na mizigo🤣🤣 mpk anastaafu lazima alikuwa amefungua hata kaduka ka kuzugia.. atakulamo hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅Basi gari anunue Toyota Hilux imsaidie kubeba na mizigo🤣🤣 mpk anastaafu lazima alikuwa amefungua hata kaduka ka kuzugia.. atakulamo hapo
2008 mpaka 10...ataenjoyPremio new model ni chopa ya ardhini
Acha kumtisha mwenzako Mbona yapo mengi barabaraniMafuta jini hilo
Inagharimu kiasi gani
[emoji35]Mtu yoyote akikutajia rumion mtukane
Hii ya 1.5L??Premio new model ni chopa ya ardhini
Acha bas kkHapati kwa hiyo bei Boss.
Ila ni chuma moja tamu Sana inanipatia hadi 18km per L nikiwa highway huku mitaani ndo naokota 14km per L ngoja niendelee kuitunza initunze[emoji3]
Nunua IST....utafanya uber ...piaHabari nimejiandaa na pesa hiyo nitapata gari gani nzuri kwa ajili ya matumizi yangu na familia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bora hata ww unawaza kununua baiskel ,mwinginee hata Hela ya kulaa tabu mkuu [emoji23] .Watu mnawaza kununua magari,wengine tunawaza jinsi gani tutanunua baiskeli
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Ist hainaga mpinzani Kwa level zake, unyama mwingiNunua IST....utafanya uber ...pia
Kwanini mnaogopa garibkisa mafuta yaani utaenda kununua kagari kasiko na comfortability kisa unaangalia weseMafuta jini hilo
Nmecheka 🤣🤣🤣🤣🤣Mtu yoyote akikutajia rumion mtukane
Unanunua gari ukikaa kwenye siti ya dereva upo kama umekaa kwenye kigodaNmecheka 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 kigoda cha jikoni kabisaUnanunua gari ukikaa kwenye siti ya dereva upo kama umekaa kwenye kigoda
Kigoda hiki hiki😁😁🤣🤣🤣 kigoda cha jikoni kabisa