Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
Hakika hatojuta kikubwa alipe matunzoChukua Premio hautajuta mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika hatojuta kikubwa alipe matunzoChukua Premio hautajuta mzee
Baby walker hizo aachane nazo.Chukua toyota raum au toyota sienta hautajilaumu
Ya mwaka 2007 new shape kwa yard hadi 28M inaenda..Yard za Bongo wanauzia tamaa hadi 26 wanakupiga ila ukiagiza uwe na 21-23m mfukoni.
CIF-Umepambana sana 12m
KODI-Ukipata ya 2007 ndo nafuu ambayo ni 9m ila ukipata mwaka wa mbele zaidi kodi nayo inapanda na hazina tofauti (2007-2012)
OTHER CHARGES-500k to 600k hapo unakuwa umeitia mkononi
BIMA-Ni wewe sasa ubavu wako.
Yeah gari nzuri ila kwa mfuko alionao ajitahidi angezee pesa kidogo hadi 20M apate used za apa apa bongo2008 mpaka 10...ataenjoy
Yeah anapata ila used bongo. Akitaka kuagiza form japan inaenda hadi 20MHii ya 1.5L??
Tatizo uchumi mkuuKwanini mnaogopa garibkisa mafuta yaani utaenda kununua kagari kasiko na comfortability kisa unaangalia wese
Ile.milango ya kuslide ni laana,no shiidaChukua toyota raum au toyota sienta hautajilaumu
Hapo utapata Premio first generation (2002-2007). Ukitaka 2nd generation (2008+) angalau uwe na 21mil+Inagharimu kiasi gani
Kama wewe sio mwongo mwongo tuoneshe gari za aina moja kwa miaka hiyo uliyotaja halafu uthibitishe hapa gari ya 2016/2018 yenye kodi kidogo kuliko gari hiyo hiyo ya 2002/2009.Achana na magari ya kizaman nunua toyota probox ya 2016/18 ni nzuri na inafaa kwa matumizi binafsi na familia lakin pia itakusaidia kubeba mizigo mikubwa na midogo
Acha izo gar za 2002/2009 izo kodi yake ni kubwa lakin pia technolojia yake niyakizaman sana
Mi nina probox ya2018 apa ofsn vijana wanabebea vtu wateja lakin pia huwa wanaitumia na familia zao hii gar ni ngumu na haili mafuta kbsa
Kama wewe sio mwongo mwongo tuoneshe gari za aina moja kwa miaka hiyo uliyotaja halafu uthibitishe hapa gari ya 2016/2018 yenye kodi kidogo kuliko gari hiyo hiyo ya 2002/2009.
KabisaPremio new model ni chopa ya ardhini
Sio wewe uliyefungua uzi wa kuponda wenye Statlet? Tukakwambia watu wananunua magari kulingana na kipato chao. Na bado ukaponda. Leo hii unashauri eti mtu asinunue Crown kwa kuwa ni 'jini'. Sasa washike lipi waache lipi?Mafuta jini hilo
Concept ni kwamba PROBOX ya 2002/2009 kodi yake ni kubwa kuliko PROBOX ya 2016/2018??Imebidi nijiridhishe. Ni kweli kwa baadhi ya gari. Hiyo Probox ya 2018 ushuru ni 7.3mil. Ila Voltz ya 2004 ushuru ni 7.8mil.
Hamna gari mule kwa walio itumiaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo, Nissan X-Trail si gari nzuli? Au kwa hiyo bei hapati!
Ni kweli ila kuna watu wanajiendekeza wengi tunakariri tuTatizo uchumi mkuu
1. Ukilinganisha Probox ya 2018, na Voltz ya 2004, Voltz ina ushuru mkubwa kuliko Probox.Concept ni kwamba PROBOX ya 2002/2009 kodi yake ni kubwa kuliko PROBOX ya 2016/2018??
AU
VOLTZ ya 2002/2009 kodi yake ni kubwa kuliko VOLTZ ya 2016/2018??