MKIBAIGWAsharkss
JF-Expert Member
- May 25, 2017
- 572
- 1,331
Ongeza mil 3uchukue Mitsubishi Outlander
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafuta jini hilo
Hakuna "gari nzuri" kwa oesa hiyo.Habari nimejiandaa na pesa hiyo nitapata gari gani nzuri kwa ajili ya matumizi yangu na familia?
Yamwaka Gani ndio nzuri...hapo kuongeza hiyo 3 nikuchukulia hapa hapa bongo au kuagizaOngeza mil 3uchukue Mitsubishi Outlander
Gari nzuri kwa pesa ipi kiasi Gani na vip nigari Gani nzuri kwa mfanoHakuna "gari nzuri" kwa oesa hiyo.
Utapata gari walilolishindwa wegine.
Tusidanganyane.
Laki3.5 nakuendeleaunaingiza shilingi ngapi kwa siku...?
Ni shilingi ngap hiyo proboxAchana na magari ya kizaman nunua toyota probox ya 2016/18 ni nzuri na inafaa kwa matumizi binafsi na familia lakin pia itakusaidia kubeba mizigo mikubwa na midogo
Acha izo gar za 2002/2009 izo kodi yake ni kubwa lakin pia technolojia yake niyakizaman sana
Mi nina probox ya2018 apa ofsn vijana wanabebea vtu wateja lakin pia huwa wanaitumia na familia zao hii gar ni ngumu na haili mafuta kbsa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unanunua gari ukikaa kwenye siti ya dereva upo kama umekaa kwenye kigoda
Laki3.5 nakuendelea
Utanishukuru baadaeHabari nimejiandaa na pesa hiyo nitapata gari gani nzuri kwa ajili ya matumizi yangu na familia?
Sio 1.5L ni 1.8L 2ZR-FE ni moja ya engine kali sana.Acha bas kk
1.5L inakupa 14/18per lita?
Inashawishi , sema vijana crown imetulogaSio 1.5L ni 1.8L 2ZR-FE ni moja ya engine kali sana.
Mfano kwa Engine ya I.S.T iko juu kwa matumizi ya wese kwahiyo Engine ya 2ZR,pia inachanganya fasta na iko stable maana ukiwa 100 bado inakuomba na wala hauhisi sema wengine sio wapenda mambio na kwenye matuta ya kawaida hakuna haja ya kupunguza mwendo sana wala kuyakata mkasi japo usiseme kuliko gari flani,hapana yenyewe kama yenyewe inakupa unachotaka na kwa wakati sahihi.
Crown pia naikubali na imekamilika kila idara ila mfuko boss inahitaji ma Don na wapenda league kama wakina Jemedaree 😀😀Inashawishi , sema vijana crown imetuloga
2003-2007 modelInagharimu kiasi gani
Za mwaka 2003-2006 Kwa used zilizotumika bongo anapata mkuuHapati kwa hiyo bei Boss.
Ila ni chuma moja tamu Sana inanipatia hadi 18km per L nikiwa highway huku mitaani ndo naokota 14km per L ngoja niendelee kuitunza initunze[emoji3]
Gari tamu sana hasa ukiwa highway gari linafunguka balaa. Litunze mzee hadi wajukuu walitumieHapati kwa hiyo bei Boss.
Ila ni chuma moja tamu Sana inanipatia hadi 18km per L nikiwa highway huku mitaani ndo naokota 14km per L ngoja niendelee kuitunza initunze[emoji3]