Kwa Milioni 30, UTT amis na nyumba ya kupangisha kipi bora?

Kwa Milioni 30, UTT amis na nyumba ya kupangisha kipi bora?

Real estate Kwa Tanzania hii hii.


Hiyo nyumba ya milion 30 labda kiwanja kiwepo.


Kuna nyumba huko chamazi na nje ya mji laki na nusu nyumba Kali.


Unatupa hiyo Hela unakuja kulipwa laki 2 Kwa mwezi sawa na milion 2.4 Kwa mwaka.
Lakini ni life time investment so usiipigie mahesabu ya mwaka mmoja.
 
Boss, milioni 30 unajenga nyumba ya namna gani, na kwa mji kama wa Dar, ikakamilika kuwa chanzo cha mapato? Eneo lipi?

Fanya uwanja unao tayari, boma unalisimamisha kwa 10m - 12m, ikianza kuongeo kiinglishi tu, 30 imekata na bado hujafikia kupangisha!

Atafute shughuli, awekeze angalau 12m, aone muelekeo, ikitiki, aongeze mtaji

Amini na kwambia Kwa hiyo hela unaweza kujenga vijiapertment vya kupangisha vya chumba kimoja sebule choo na jiko ,tiles aluminium window. Vitatu.
Itategemea gharama ya usafirishaji vifaa vya ujenzi isiwe kubwa.
Bei ya kupangisha itategemea na eneo ,
Hivyo vijiapertment ninavyosehemu Kwa mwezi kimoja kodi laki 2
 
Wakati hiyo milion 70 nikiweka UTT Amis napata si chini ya laki 7 Kwa mwezi maisha yangu yote duniani
Tambua Kwenye uwekezaji kuna hii principle "The higher the risk the higher the return" and the viče versa is true.
And katika maisha kuna likes and dislikes za mtu. Watu wote hatuwezi kufanya vitu vinavyofanana wengine wanawekeza Kwenye majengo ya biashara, wengine viwanda , magari ,kilimo nđio dunia inavyokwenda .
Ila kusikiliza ushauri na uzoefu wa watu ni Jambo jema.
Ila ki ukweli uwekezaji wa majengo ni mojawapo wa uwekezaji mgumu, mkubwa na wa muda mrefu na ni uwekezaji unaoheshimika sana duniani na ndio umeijenga dunia na ndio maana sehemu nyingi duniani serikali na mataasisi makubwa ndiyo yana deal sana na real estate development.
Aidha Kwa wajasariamali wadogo Kwa nchi mbalimbali duniani ni sehemu nzuri ya kuhifadhi fedha katika mazingira ya hatari (risk) ndogo huku ukijihakikishia kipato cha uhakika bila kufanya kaži kubwa ukishamaliza kujenga au kununua na kupangisha (sustainable pasive income)
 
Tambua Kwenye uwekezaji kuna hii principle "The higher the risk the higher the return" and the viče versa is true.
And katika maisha kuna likes and dislikes za mtu. Watu wote hatuwezi kufanya vitu vinavyofanana wengine wanawekeza Kwenye majengo ya biashara, wengine viwanda , magari ,kilimo nđio dunia inavyokwenda .
Ila kusikiliza ushauri na uzoefu wa watu ni Jambo jema.
Ila ki ukweli uwekezaji wa majengo ni mojawapo wa uwekezaji mgumu, mkubwa na wa muda mrefu na ni uwekezaji unaoheshimika sana duniani na ndio umeijenga dunia na ndio maana sehemu nyingi duniani serikali na mataasisi makubwa ndiyo yana deal sana na real estate development.
Aidha Kwa wajasariamali wadogo Kwa nchi mbalimbali duniani ni sehemu nzuri ya kuhifadhi fedha katika mazingira ya hatari (risk) ndogo huku ukijihakikishia kipato cha uhakika bila kufanya kaži kubwa ukishamaliza kujenga au kununua na kupangisha (sustainable pasive income)
Kajifunze maana ya INVESTMENT na BUSINESS


Unachanganya mambo!


Narudia Tena kajifunze tofauti ya hizo terms 2
 
Kajifunze maana ya INVESTMENT na BUSINESS


Unachanganya mambo!


Narudia Tena kajifunze tofauti ya hizo terms 2

Nilishajifunza kitambo Kwa sasa Nina practice nilchojifunza.
Ujenzi wa nyumba ni investment na ni biashara nzuri inayoingiza kipato stress free they call it passive income through rental fees
Familia ya Andy Chandy inakula .maisha na itaendelea kwani huyo.Mzee pamoja na ufreemason wake aliwekeza Kwenye majumba Kwenye sehemu strategic .
Familia Trump inamiliki majumba ya kutosha Kwenye Jiji la New York ambayo yanawaingizia pesa
 
Hii hapa ndani ya miaka mitano nitakuwa na faida ya milion 22. View attachment 2884292
Ungesema hata ni scheme gani .tuijue.
Unakumbuka scheme inaitwa DECI?
Meridiani Biao bank ilikuwa na ma scheme ya aina mbalimbali ya mfumo wa fixed deposit unajua story ya hii bank.
Ndio maana Kwenye investment kuna hii principle ya The higher the return the higher the risk.
Nilishajaribu kuinvest na kufanya biashara ya kusafirisha watu nilinunua daladala nilitengeneza pesa Kwa haraka lakini sikuwa na jamani kabisa hadi nikaamua kuiacha nikaamia Kwenye nyumba .
Nyumba unaweza safiri nje ya nchi hata mwaka na bado ukawa una amani na investment yako Bila hata kufanya ufuatiliaji wa kila siku
 
Unataka stable income.

Wekeza kwenye nyumba ya kupanga

Tafuta location nzuri marketable au Ina projection nzuri siku za mbeleni.

Jenga vyumba vya kupanga self vikubwa. Uone kama. Utakosa Hela.

Nyumba itakupa pesa na pesa Yako unaiona hio hapo na unakuwa na option nyingi kama kukopea nyumba kuwekeza kwenye mradi mwingine na mkopo ukalipwa kwa nyumba husika ya kupanga.

Hizi UTT AMIS ni nzuri but Mimi binafsi nina mashaka nazo isije kuwa kama mambo ya Deci.

Uwekezaji wa

Fixed deposit account
Real estate
Treasury bonds

Ndio salama zaidi.
Hivi una uelewa kuhusu UTT au umeandika tuu unachojiskia...?
 
Ndio maana hujui kitu kuhusu Uwekezaji...kama hujui ni afadhali uulize uelimishwe...tangu lini utt ikawa kwa mstaafu?

Umri wa Mwisho kujiunga na UTT ni miaka 55 na huku kwetu mtu anastaafu akiwa na miaka 60....
Sifanyi biashara isiyoweza kuniingizia atleast mil5 kwa mwezi sasa hiyo ya kuweka 30mil niingize laki3 mimi naona ni kifilisika mawazo
 
Ujinga huu hapa sasa....!
Endelea kuwa mjinga angalia tarehee kwanza we unaye jichanga
Screenshot_20240228-042629_MetaTrader 4.jpg
 
Unataka stable income.

Wekeza kwenye nyumba ya kupanga

Tafuta location nzuri marketable au Ina projection nzuri siku za mbeleni.

Jenga vyumba vya kupanga self vikubwa. Uone kama. Utakosa Hela.

Nyumba itakupa pesa na pesa Yako unaiona hio hapo na unakuwa na option nyingi kama kukopea nyumba kuwekeza kwenye mradi mwingine na mkopo ukalipwa kwa nyumba husika ya kupanga.

Hizi UTT AMIS ni nzuri but Mimi binafsi nina mashaka nazo isije kuwa kama mambo ya Deci.

Uwekezaji wa

Fixed deposit account
Real estate
Treasury bonds

Ndio salama zaidi.
Hivi unajua kuwa UTT AMIS ni taasisi iliyopo chini ya wizara ya fedha? Unaanzaje kuifananisha na DECI au hauna taarifa jinsi gani inaoperate na aina ya mifuko yake? Kuwa na taarifa boss.
 
Hivi unajua kuwa UTT AMIS ni taasisi iliyopo chini ya wizara ya fedha? Unaanzaje kuifananisha na DECI au hauna taarifa jinsi gani inaoperate na aina ya mifuko yake? Kuwa na taarifa boss.
hivi unafahamu kwamba mifuko ya hifadhi ya Jamii Pssf na nssf ipo chini ya wizara hiyohiyo je unafahamu kitu chochote kuhusu kikokoto no fao la kujitoa?
 
Una elimu kuhusu utt amis ,nakushauri tafuta elimu .....Utts amis sio risk mda mwingine ...Kuna jopo la watu wanawekeza bila ya kuwa na akili.


Hizo ni hisa zinaweza kuporomoka kabisa.
Vipande (Mutual fund) sio hisa (shares) japo kwenye kuporomoka upo sahihi.

#YNWA
 
Back
Top Bottom