Kwa milioni 4 ninunue gari gani iliyotumika?

Asante sana mkuu
 
Kama Mimi ningekua wewe, ningenunua bike Kama boxer au TV's used kwa mil 1, inisaidie mizunguko yangu. Then hiyo 3M iliyobaki nitai save Hadi ifike 7- 8M hapo ndipo utaweza kupata gari nzuri yenye afya.

Vinginevyo gari ya 4M itakupa stress na itakuyumbisha Sana.
 
Mkuu ww hujielewi mkuu, laki 6 hadi 8 kwa mwezi af n mwanaume mkuu, hela ya unyunyu kabisa ndo unaishi nayo... Af unataka gari, doh, mkuu demu wako tutamla sana mkuu
Unaweza ukawa na mshahara wa milion 10, na demu wako tukamla pia...[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Demu akiamua kuliwa haangalii hela zako, ataliwa tu...
.Maisha hayana formula bro......
 
Pikipiki zinaua haraka sana...acha atafute gari
 
vyombo vya usafiri vikiwa used ubaya wake tatizo likitokea moja Basi ukipeleka kwa fundi ujue kuna matatizo zaidi ya mawili kuna spare zinakuwa zimeshachoka ila zinakuwa zimeshikiza kwahiyo Ni ngumu kujua tatizo pale unapoenda kuikagua na fundi utaona ni gari imenyooka ukitembeanayo Kama miezi miwili ndio utajua hilo
Ushauri hakikisha unanunua gari kwa mtu unayemfahamu
 
Vitz, Corolla 110, Starlet hizi angalau unaweza pambana nazo...kwa hiyo bei nadhani hata Swift unaweza bahatisha

Anayekushauri Passo mkimbie, vile vigari vikichoka huwa vinachoka haswaaa...
 
Vitz, Corolla 110, Starlet hizi angalau unaweza pambana nazo...kwa hiyo bei nadhani hata Swift unaweza bahatisha

Anayekushauri Passo mkimbie, vile vigari vikichoka huwa vinachoka haswaaa...
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Nunua pikipiki kwa milioni mbili na nusu kisha baada ya hapo iliyobaki tafuta demu mkali pumzika nae sehemu tulivu hata wiki ukimaliza katafute pesa upya

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…