Asante sana mkuuMtu kaomba ushauri wa gari wewe unamwambia awekeze! Awekeze kwenye nini? Wapi?
Juzi kuna mtu kashusha uzi hapa kajichanga kaenda mbeya kununua mchele kauleta dar hana pa kuuza, watu wanampa bei za hasara!
kama hujui gari la m4 atakalomudu kwa kipato chake kalisha masaidongi!!!
Gari zipo nyingi tu mkuu, nakushauri uwe na fundi wako akusaidie ukaguzi kabla hujafanya malipo.
Mbona zipo nyingi 2.5 _3M nyie mmekalili madalali wa Instagram mnapigwa hela nyingiMilioni 4? You can't be serious!
Kwa usawa wa hela yake hapo ni mambo ya vitz old model tu....tena anapata nzuri kama hana haraka.Vitz old, suzuki kei
Mleta mada napenda unavyosimamia maamuzi yako...[emoji119][emoji119][emoji38]Mkuu tengeneza ya kwako
Huwezi nipangia bajeti,, hapo umeulizwa usafiri gani ninunue
Unaweza ukawa na mshahara wa milion 10, na demu wako tukamla pia...[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Mkuu ww hujielewi mkuu, laki 6 hadi 8 kwa mwezi af n mwanaume mkuu, hela ya unyunyu kabisa ndo unaishi nayo... Af unataka gari, doh, mkuu demu wako tutamla sana mkuu
GX 100 haitadhuruKwa usawa wa hela yake hapo ni mambo ya vitz old model tu....tena anapata nzuri kama hana haraka.
Au akae kweny GX 100 Imchangamshe kidogo..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji38]
Pikipiki zinaua haraka sana...acha atafute gariKama Mimi ningekua wewe, ningenunua bike Kama boxer au TV's used kwa mil 1, inisaidie mizunguko yangu. Then hiyo 3M iliyobaki nitai save Hadi ifike 7- 8M hapo ndipo utaweza kupata gari nzuri yenye afya.
Vinginevyo gari ya 4M itakupa stress na itakuyumbisha Sana.
And those who were seen dancing were thought to be insane by those who could not hear a music. The pblem is not a problem, the problem is your attitude to the problem.Pikipiki zinaua haraka sana...acha atafute gari
Is Kei=K ile tunaijua?Vitz old, suzuki kei
Ahahahahha Kei ni gari mkuuIs Kei=K ile tunaijua?
Baki na mawazo yako ya kibodaboda mkuuNunua pikipiki kwa milioni mbili na nusu kisha baada ya hapo iliyobaki tafuta demu mkali pumzika nae sehemu tulivu hata wiki ukimaliza katafute pesa upya
[emoji120][emoji120][emoji120]Vitz, Corolla 110, Starlet hizi angalau unaweza pambana nazo...kwa hiyo bei nadhani hata Swift unaweza bahatisha
Anayekushauri Passo mkimbie, vile vigari vikichoka huwa vinachoka haswaaa...
Baki na mawazo yako ya kibodaboda mkuu
Nunua pikipiki kwa milioni mbili na nusu kisha baada ya hapo iliyobaki tafuta demu mkali pumzika nae sehemu tulivu hata wiki ukimaliza katafute pesa upya