Kwa milioni 4 ninunue gari gani iliyotumika?

Kwa milioni 4 ninunue gari gani iliyotumika?

Ondokaneni kwanza na mawazo ya kimaskini kwamba kumiliki gari ni anasa maana kwa mawazo haya hata pikipiki mtasema awekeze kwanza kadhalika hata baskeli mtasema awekeze kwanza baadae hata kununua viatu mtataka ajiwekeze kwanza , maisha ya dunia ni mafupi sana usijipe tabu na mateso eti kisa ujiwekeze, kila kitu kina umuhimu wake katika maisha uhitaji wa gari si sawa na uhitaji wa pesa za kujiwekeza kadhalika si sawa na uhitaji wa nyumba nk. kina Mengi wamejiwekeza weeee lakin wamewaachia kina jacklyne ambao hata hawajui mengi kapambanaje ishi kwa furaha na upe raha uzima wako lililo ndani ya wakati wako lifanye.

Kisa nini kuambukizana vikwapa na TB na kusimamishwa kwenye public cars pamoja na kutukanwa na makondakta walevi hovyo hovyo wakati uwezo wa kuwa na usafiri wako wa kawaida na ukasafiri confortable na familia yako unao? Uzuri zipo gari kulingana na hali ya yeyote yule mwenye nia ya kumiliki gari. Kama uwezo wako ni wa kuimudu vits au starlet basi usihangaike na harrier au vanguard hivyo tu

Ndio mana hata viatu kuna anae vaa yebo ya tsh 3500 na kuna naye vaa viatu vya PVC tsh.6,500 lakin pia yupo anaye vaa safari boot Tsh. 70,000/= lakin yupo anaye vaa CAT Tsh. 250,000/= lakib mwisho wa siku kila mtu kavaa kiatu cha nafasi yake.
Itoshe kusema kuwa ww n maskini wa kifikra.
Af em jaribu kuondoa lile wazo la kuwa hata uwekeze utakufa na kuviacha kama ulivyomtolea mfano Mengi....
Jiulize kwanza Mengi amezifaidi vp mali alizojilimbikizia kabla ya umauti wake.
What if asingewekeza akiwa na mawazo hasi kama yako.....
Sio mengi peke yake..... Angalia watu wengine waliofanikiwa kimaisha. Waliwekeza kwa kile kidogo walichokuwa nacho, kikawa kikubwa and wakaishi maisha wanayotaka.

Turud kwa mwenye huu uzi....
Kipato chake per month n laki 6 hadi 8, then ako na 4 millions kama bajeti ya gari.....
Wengi mtapingana na mimi lkn kuna jambo haliko sawa.

Hapa ntabishana na waajiriwa serikalini, lkn kwa mjasiriamali or mfanyabiashara anaelewa nnachozungumzia hapa n nn.

Mfano rahisi ni huu hapa....
Diamond platinumz alikuwa na uwezo wa kumiliki Rolls Loyc hata kabla ya Ginimbi...
Badala yake pesa hio alitumia kutengeneza mifumo mbalimbali itakayompa pesa zaidi mbali na sanaa anayoifanya. Pesa imezaa na amemiliki ndiga ya gharama kiasi kile. Wakati huo ashaitengenezea pesa mikondo kadhaa.

Then simpangii mtu namna ya kuishi, ila nmefanya kumshauri tu.

polokwane ungekuwa ww n MO ungeshanunua ndege yako binafsi kwa mawazo yako ya "kwann niteseke na foleni wakati pesa yakununua plane ninayo".

Soma reply ya igogondwa na Rusumo one #78 na #79 respectivelly.

Amka polokwane

Imagine " Una gari af kipato chako n laki nane kwa mwezi" inasound vp hio...

Unataka kuonekana tajiri, badala ya kuwa tajiri.
 
Itoshe kusema kuwa ww n maskini wa kifikra.
Af em jaribu kuondoa lile wazo la kuwa hata uwekeze utakufa na kuviacha kama ulivyomtolea mfano Mengi....
Jiulize kwanza Mengi amezifaidi vp mali alizojilimbikizia kabla ya umauti wake.
What if asingewekeza akiwa na mawazo hasi kama yako.....
Sio mengi peke yake..... Angalia watu wengine waliofanikiwa kimaisha. Waliwekeza kwa kile kidogo walichokuwa nacho, kikawa kikubwa and wakaishi maisha wanayotaka.

Turud kwa mwenye huu uzi....
Kipato chake per month n laki 6 hadi 8, then ako na 4 millions kama bajeti ya gari.....
Wengi mtapingana na mimi lkn kuna jambo haliko sawa.

Hapa ntabishana na waajiriwa serikalini, lkn kwa mjasiriamali or mfanyabiashara anaelewa nnachozungumzia hapa n nn.

Mfano rahisi ni huu hapa....
Diamond platinumz alikuwa na uwezo wa kumiliki Rolls Loyc hata kabla ya Ginimbi...
Badala yake pesa hio alitumia kutengeneza mifumo mbalimbali itakayompa pesa zaidi mbali na sanaa anayoifanya. Pesa imezaa na amemiliki ndiga ya gharama kiasi kile. Wakati huo ashaitengenezea pesa mikondo kadhaa.

Then simpangii mtu namna ya kuishi, ila nmefanya kumshauri tu.

polokwane ungekuwa ww n MO ungeshanunua ndege yako binafsi kwa mawazo yako ya "kwann niteseke na foleni wakati pesa yakununua plane ninayo".

Soma reply ya igogondwa na Rusumo one #78 na #79 respectivelly.

Amka polokwane

Imagine " Una gari af kipato chako n laki nane kwa mwezi" inasound vp hio...

Unataka kuonekana tajiri, badala ya kuwa tajiri.
Achana na mawazo ya kimaskini kama nafasi ya kufanya jambo ipo fanya achana na fikra zako za kimaskini ni hivyo tu.
 
Ila kwa pesa yako kupata gari ambayo bado nzima sana passo ni recomended, ukichukua ingine utapata ilochoka sana
 
Mkuu cheki na vitz zile model ya zamani unapata kwa hela hiyo lakini pia mafuta hakata kusumbua.

Kwa hela hiyo unaweza kupata pia mark ii grande,verosa ila hizi uwe na bajeti nzuri ya mafuta au huna mizunguko mingi kwa siku.

Achukue vitz old model au passo piston 4
 
Aisee gari za misele za bei hiyo zipo nyingi tuu.. Unachotakiwa ni kujua wapi utazipata..!
Kuna watu gari wanauza wamekosa sehemu ya kupaki.. Wengine wamekosa muda wa kuziendesha.. Ila gari ni nzima misele unapiga na heshima unapata..!
Kutokujua kusikufanye useme Hakuna..!

Kuna gari zinapigwa minada na watu wa mikopo
 
Itoshe kusema kuwa ww n maskini wa kifikra.
Af em jaribu kuondoa lile wazo la kuwa hata uwekeze utakufa na kuviacha kama ulivyomtolea mfano Mengi....
Jiulize kwanza Mengi amezifaidi vp mali alizojilimbikizia kabla ya umauti wake.
What if asingewekeza akiwa na mawazo hasi kama yako.....
Sio mengi peke yake..... Angalia watu wengine waliofanikiwa kimaisha. Waliwekeza kwa kile kidogo walichokuwa nacho, kikawa kikubwa and wakaishi maisha wanayotaka.

Turud kwa mwenye huu uzi....
Kipato chake per month n laki 6 hadi 8, then ako na 4 millions kama bajeti ya gari.....
Wengi mtapingana na mimi lkn kuna jambo haliko sawa.

Hapa ntabishana na waajiriwa serikalini, lkn kwa mjasiriamali or mfanyabiashara anaelewa nnachozungumzia hapa n nn.

Mfano rahisi ni huu hapa....
Diamond platinumz alikuwa na uwezo wa kumiliki Rolls Loyc hata kabla ya Ginimbi...
Badala yake pesa hio alitumia kutengeneza mifumo mbalimbali itakayompa pesa zaidi mbali na sanaa anayoifanya. Pesa imezaa na amemiliki ndiga ya gharama kiasi kile. Wakati huo ashaitengenezea pesa mikondo kadhaa.

Then simpangii mtu namna ya kuishi, ila nmefanya kumshauri tu.

polokwane ungekuwa ww n MO ungeshanunua ndege yako binafsi kwa mawazo yako ya "kwann niteseke na foleni wakati pesa yakununua plane ninayo".

Soma reply ya igogondwa na Rusumo one #78 na #79 respectivelly.

Amka polokwane

Imagine " Una gari af kipato chako n laki nane kwa mwezi" inasound vp hio...

Unataka kuonekana tajiri, badala ya kuwa tajiri.
Gari Ni basic needs sio luxury mbona mna complicate Sana mambo...

Yani Gari la dola 1800 ndio linakutoa povu lote hilo
 
Itoshe kusema kuwa ww n maskini wa kifikra.
Af em jaribu kuondoa lile wazo la kuwa hata uwekeze utakufa na kuviacha kama ulivyomtolea mfano Mengi....
Jiulize kwanza Mengi amezifaidi vp mali alizojilimbikizia kabla ya umauti wake.
What if asingewekeza akiwa na mawazo hasi kama yako.....
Sio mengi peke yake..... Angalia watu wengine waliofanikiwa kimaisha. Waliwekeza kwa kile kidogo walichokuwa nacho, kikawa kikubwa and wakaishi maisha wanayotaka.

Turud kwa mwenye huu uzi....
Kipato chake per month n laki 6 hadi 8, then ako na 4 millions kama bajeti ya gari.....
Wengi mtapingana na mimi lkn kuna jambo haliko sawa.

Hapa ntabishana na waajiriwa serikalini, lkn kwa mjasiriamali or mfanyabiashara anaelewa nnachozungumzia hapa n nn.

Mfano rahisi ni huu hapa....
Diamond platinumz alikuwa na uwezo wa kumiliki Rolls Loyc hata kabla ya Ginimbi...
Badala yake pesa hio alitumia kutengeneza mifumo mbalimbali itakayompa pesa zaidi mbali na sanaa anayoifanya. Pesa imezaa na amemiliki ndiga ya gharama kiasi kile. Wakati huo ashaitengenezea pesa mikondo kadhaa.

Then simpangii mtu namna ya kuishi, ila nmefanya kumshauri tu.

polokwane ungekuwa ww n MO ungeshanunua ndege yako binafsi kwa mawazo yako ya "kwann niteseke na foleni wakati pesa yakununua plane ninayo".

Soma reply ya igogondwa na Rusumo one #78 na #79 respectivelly.

Amka polokwane

Imagine " Una gari af kipato chako n laki nane kwa mwezi" inasound vp hio...

Unataka kuonekana tajiri, badala ya kuwa tajiri.
Aisee majibu yako yanaweza kuwa sahihi.. Ila hapa sio sehemu yake.. Swali limeulizwa gari la kununua kwa bajeti fulani.. Wewe unaelezea kipato na gari.. Nashauri ufungue uzi wa Kipato vs Umiliki wa gari.. Then tutakuja huko huko kukufundisha pia..!
 
Ngoja nisome comments, kwa uchache tafuta network ya wadada wenye ist namba C Pia check na watoto wa kihindi hutojuta 4m kuna watu wanasubiria kwa hamu No. E utapata gari nzuri sana ongeza 1M utapata gari nzuri sana, Alteza pia zipo kwa hio bei. Ogopa madalali utalia
 
Wakuu
Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini

Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari nalihitaji kwa ajili ya mizunguko binafsi hivyo naombeni ushauri ipi itanifaa kwa movement kutoka home kwenda kazini na kurudi.
nunua ist. roho ya paka.
 
Itoshe kusema kuwa ww n maskini wa kifikra.
Af em jaribu kuondoa lile wazo la kuwa hata uwekeze utakufa na kuviacha kama ulivyomtolea mfano Mengi....
Jiulize kwanza Mengi amezifaidi vp mali alizojilimbikizia kabla ya umauti wake.
What if asingewekeza akiwa na mawazo hasi kama yako.....
Sio mengi peke yake..... Angalia watu wengine waliofanikiwa kimaisha. Waliwekeza kwa kile kidogo walichokuwa nacho, kikawa kikubwa and wakaishi maisha wanayotaka.

Turud kwa mwenye huu uzi....
Kipato chake per month n laki 6 hadi 8, then ako na 4 millions kama bajeti ya gari.....
Wengi mtapingana na mimi lkn kuna jambo haliko sawa.

Hapa ntabishana na waajiriwa serikalini, lkn kwa mjasiriamali or mfanyabiashara anaelewa nnachozungumzia hapa n nn.

Mfano rahisi ni huu hapa....
Diamond platinumz alikuwa na uwezo wa kumiliki Rolls Loyc hata kabla ya Ginimbi...
Badala yake pesa hio alitumia kutengeneza mifumo mbalimbali itakayompa pesa zaidi mbali na sanaa anayoifanya. Pesa imezaa na amemiliki ndiga ya gharama kiasi kile. Wakati huo ashaitengenezea pesa mikondo kadhaa.

Then simpangii mtu namna ya kuishi, ila nmefanya kumshauri tu.

polokwane ungekuwa ww n MO ungeshanunua ndege yako binafsi kwa mawazo yako ya "kwann niteseke na foleni wakati pesa yakununua plane ninayo".

Soma reply ya igogondwa na Rusumo one #78 na #79 respectivelly.

Amka polokwane

Imagine " Una gari af kipato chako n laki nane kwa mwezi" inasound vp hio...

Unataka kuonekana tajiri, badala ya kuwa tajiri.
Mwenye masikio na asikie
 
Kuielewa huu ushauri wa jamaa lazima uwe na akili kubwa, yaani kipato cha laki nane unataka ununue gari, tena kwa milioni 4?? Vijana mna tabu sana aisee
Mkuu wewe ulitaka awe na kipato gani ndio anunue gari?
Ushauri wako mkuu.
 
Wakuu
Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini

Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari nalihitaji kwa ajili ya mizunguko binafsi hivyo naombeni ushauri ipi itanifaa kwa movement kutoka home kwenda kazini na kurudi.
Kwenye hiyo Milioni 4 weka na pesa ya notebook na peni ya kuandikia namba za simu za mafundi
 
Back
Top Bottom