Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Risk sana pikipikiNunua pikipiki kwa milioni mbili na nusu kisha baada ya hapo iliyobaki tafuta demu mkali pumzika nae sehemu tulivu hata wiki ukimaliza katafute pesa upya
Wewe ndio masikini mkuuKuielewa huu ushauri wa jamaa lazima uwe na akili kubwa, yaani kipato cha laki nane unataka ununue gari, tena kwa milioni 4?? Vijana mna tabu sana aisee
Nunua bajaji ukiwa unakwenda kazini unalamba vichwa ukiwa unarudi nyumbani unakula vichwaWakuu
Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini
Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari nalihitaji kwa ajili ya mizunguko binafsi hivyo naombeni ushauri ipi itanifaa kwa movement kutoka home kwenda kazini na kurudi.
Mkuu unataka nimiliki gari nikiwa na kipato kiasi gani kwa mweziItoshe kusema kuwa ww n maskini wa kifikra.
Af em jaribu kuondoa lile wazo la kuwa hata uwekeze utakufa na kuviacha kama ulivyomtolea mfano Mengi....
Jiulize kwanza Mengi amezifaidi vp mali alizojilimbikizia kabla ya umauti wake.
What if asingewekeza akiwa na mawazo hasi kama yako.....
Sio mengi peke yake..... Angalia watu wengine waliofanikiwa kimaisha. Waliwekeza kwa kile kidogo walichokuwa nacho, kikawa kikubwa and wakaishi maisha wanayotaka.
Turud kwa mwenye huu uzi....
Kipato chake per month n laki 6 hadi 8, then ako na 4 millions kama bajeti ya gari.....
Wengi mtapingana na mimi lkn kuna jambo haliko sawa.
Hapa ntabishana na waajiriwa serikalini, lkn kwa mjasiriamali or mfanyabiashara anaelewa nnachozungumzia hapa n nn.
Mfano rahisi ni huu hapa....
Diamond platinumz alikuwa na uwezo wa kumiliki Rolls Loyc hata kabla ya Ginimbi...
Badala yake pesa hio alitumia kutengeneza mifumo mbalimbali itakayompa pesa zaidi mbali na sanaa anayoifanya. Pesa imezaa na amemiliki ndiga ya gharama kiasi kile. Wakati huo ashaitengenezea pesa mikondo kadhaa.
Then simpangii mtu namna ya kuishi, ila nmefanya kumshauri tu.
polokwane ungekuwa ww n MO ungeshanunua ndege yako binafsi kwa mawazo yako ya "kwann niteseke na foleni wakati pesa yakununua plane ninayo".
Soma reply ya igogondwa na Rusumo one #78 na #79 respectivelly.
Amka polokwane
Imagine " Una gari af kipato chako n laki nane kwa mwezi" inasound vp hio...
Unataka kuonekana tajiri, badala ya kuwa tajiri.
Akikujibu nitag mkuuMkuu wewe ulitaka awe na kipato gani ndio anunue gari?
Ushauri wako mkuu.
Namba E zikianza tutanunua IST kwa bei kitonga sana yani 😂 maana zipo za kutosha yani!Ngoja nisome comments, kwa uchache tafuta network ya wadada wenye ist namba C Pia check na watoto wa kihindi hutojuta 4m kuna watu wanasubiria kwa hamu No. E utapata gari nzuri sana ongeza 1M utapata gari nzuri sana, Alteza pia zipo kwa hio bei. Ogopa madalali utalia
Hajakosea hiyo ni pesa yake hiyo.Ni sawa kuulizwa msalani wapi,we ujibu unaenda kunya au kukojoa?Rudia kusoma reply yangu ya kwanza na vile alivoiquote.
Ukikaa na kutulia, usiwe na papara/haraka, hususan kwa kipindi hiki cha kwenda mwezi wa 12-02 utapata gari nzuri isio na stress. Hata carina Ti ilio safi unaweza kuipata.Wakuu
Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini
Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari nalihitaji kwa ajili ya mizunguko binafsi hivyo naombeni ushauri ipi itanifaa kwa movement kutoka home kwenda kazini na kurudi.
Namba 'E' tuitarajie mwezi September 2022. Fikiria November 2020 tulikua DU Sasa November 2021 bado tupo DX....Namba E zikianza tutanunua IST kwa bei kitonga sana yani 😂 maana zipo za kutosha yani!
Yani wenye D watapambana waziuze kwa namna yeyote ili wahamie namba E. Sio mbali ni Mwezi wa 6 mwakani hapo.
DY mpaka mwezi ujao tutakuwa tushaanzaNamba 'E' tuitarajie mwezi September 2022. Fikiria November 2020 tulikua DU Sasa November 2021 bado tupo DX....
Mi nasubiria E itoke ikitoka nanua D then nafanya msesereko wa kubadili jina la kadi na kusajiriwa no. E kuhusu muonekano wachina watafanya yao.Namba E zikianza tutanunua IST kwa bei kitonga sana yani 😂 maana zipo za kutosha yani!
Yani wenye D watapambana waziuze kwa namna yeyote ili wahamie namba E. Sio mbali ni Mwezi wa 6 mwakani hapo.
Mark 2 chaser number AWakuu
Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini
Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari nalihitaji kwa ajili ya mizunguko binafsi hivyo naombeni ushauri ipi itanifaa kwa movement kutoka home kwenda kazini na kurudi.
Risk sana pikipiki
Mtu anayetakiwa kununua gari anatakiwa awe na kipato cha milioni ngapi kwa mwezi..?Kuielewa huu ushauri wa jamaa lazima uwe na akili kubwa, yaani kipato cha laki nane unataka ununue gari, tena kwa milioni 4?? Vijana mna tabu sana aisee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tafuta uzungushe za kwako
Waswahili mnataabu sana
Childish mindsetMkuu ww hujielewi mkuu, laki 6 hadi 8 kwa mwezi af n mwanaume mkuu, hela ya unyunyu kabisa ndo unaishi nayo... Af unataka gari, doh, mkuu demu wako tutamla sana mkuu
Majibu ya shemeji mtuHakuti kitu huyoo! Nimeshafuta nyama zote na ugali labda asubiri cha jioni [emoji3]
Nadhani Brevis no C tutanunua Milioni 2..[emoji119][emoji119][emoji2957]Namba E zikianza tutanunua IST kwa bei kitonga sana yani [emoji23] maana zipo za kutosha yani!
Yani wenye D watapambana waziuze kwa namna yeyote ili wahamie namba E. Sio mbali ni Mwezi wa 6 mwakani hapo.