Kwa milioni 4 ninunue gari gani iliyotumika?

Kwa milioni 4 ninunue gari gani iliyotumika?

Kuielewa huu ushauri wa jamaa lazima uwe na akili kubwa, yaani kipato cha laki nane unataka ununue gari, tena kwa milioni 4?? Vijana mna tabu sana aisee
Wewe ndio masikini mkuu

Hujui hiyo 4m nimeipataje,,
 
Wakuu
Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini

Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari nalihitaji kwa ajili ya mizunguko binafsi hivyo naombeni ushauri ipi itanifaa kwa movement kutoka home kwenda kazini na kurudi.
Nunua bajaji ukiwa unakwenda kazini unalamba vichwa ukiwa unarudi nyumbani unakula vichwa
 
Itoshe kusema kuwa ww n maskini wa kifikra.
Af em jaribu kuondoa lile wazo la kuwa hata uwekeze utakufa na kuviacha kama ulivyomtolea mfano Mengi....
Jiulize kwanza Mengi amezifaidi vp mali alizojilimbikizia kabla ya umauti wake.
What if asingewekeza akiwa na mawazo hasi kama yako.....
Sio mengi peke yake..... Angalia watu wengine waliofanikiwa kimaisha. Waliwekeza kwa kile kidogo walichokuwa nacho, kikawa kikubwa and wakaishi maisha wanayotaka.

Turud kwa mwenye huu uzi....
Kipato chake per month n laki 6 hadi 8, then ako na 4 millions kama bajeti ya gari.....
Wengi mtapingana na mimi lkn kuna jambo haliko sawa.

Hapa ntabishana na waajiriwa serikalini, lkn kwa mjasiriamali or mfanyabiashara anaelewa nnachozungumzia hapa n nn.

Mfano rahisi ni huu hapa....
Diamond platinumz alikuwa na uwezo wa kumiliki Rolls Loyc hata kabla ya Ginimbi...
Badala yake pesa hio alitumia kutengeneza mifumo mbalimbali itakayompa pesa zaidi mbali na sanaa anayoifanya. Pesa imezaa na amemiliki ndiga ya gharama kiasi kile. Wakati huo ashaitengenezea pesa mikondo kadhaa.

Then simpangii mtu namna ya kuishi, ila nmefanya kumshauri tu.

polokwane ungekuwa ww n MO ungeshanunua ndege yako binafsi kwa mawazo yako ya "kwann niteseke na foleni wakati pesa yakununua plane ninayo".

Soma reply ya igogondwa na Rusumo one #78 na #79 respectivelly.

Amka polokwane

Imagine " Una gari af kipato chako n laki nane kwa mwezi" inasound vp hio...

Unataka kuonekana tajiri, badala ya kuwa tajiri.
Mkuu unataka nimiliki gari nikiwa na kipato kiasi gani kwa mwezi
 
Acheni mambo ya ajabu, kinachotakiwa ni ushauri wa gari itakayopatikana kwa bei hiyo, sio mambo mengine.
Gari ni usafiri na sio utajiri, wabongo tulielewe hili.
 
Ngoja nisome comments, kwa uchache tafuta network ya wadada wenye ist namba C Pia check na watoto wa kihindi hutojuta 4m kuna watu wanasubiria kwa hamu No. E utapata gari nzuri sana ongeza 1M utapata gari nzuri sana, Alteza pia zipo kwa hio bei. Ogopa madalali utalia
Namba E zikianza tutanunua IST kwa bei kitonga sana yani 😂 maana zipo za kutosha yani!

Yani wenye D watapambana waziuze kwa namna yeyote ili wahamie namba E. Sio mbali ni Mwezi wa 6 mwakani hapo.
 
Wakuu
Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini

Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari nalihitaji kwa ajili ya mizunguko binafsi hivyo naombeni ushauri ipi itanifaa kwa movement kutoka home kwenda kazini na kurudi.
Ukikaa na kutulia, usiwe na papara/haraka, hususan kwa kipindi hiki cha kwenda mwezi wa 12-02 utapata gari nzuri isio na stress. Hata carina Ti ilio safi unaweza kuipata.
Kuelekea mwanzoni mwa mwaka magari hua bei chini.
 
Namba E zikianza tutanunua IST kwa bei kitonga sana yani 😂 maana zipo za kutosha yani!

Yani wenye D watapambana waziuze kwa namna yeyote ili wahamie namba E. Sio mbali ni Mwezi wa 6 mwakani hapo.
Namba 'E' tuitarajie mwezi September 2022. Fikiria November 2020 tulikua DU Sasa November 2021 bado tupo DX....
 
Namba E zikianza tutanunua IST kwa bei kitonga sana yani 😂 maana zipo za kutosha yani!

Yani wenye D watapambana waziuze kwa namna yeyote ili wahamie namba E. Sio mbali ni Mwezi wa 6 mwakani hapo.
Mi nasubiria E itoke ikitoka nanua D then nafanya msesereko wa kubadili jina la kadi na kusajiriwa no. E kuhusu muonekano wachina watafanya yao.
 
Wakuu
Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini

Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari nalihitaji kwa ajili ya mizunguko binafsi hivyo naombeni ushauri ipi itanifaa kwa movement kutoka home kwenda kazini na kurudi.
Mark 2 chaser number A
 
Kuielewa huu ushauri wa jamaa lazima uwe na akili kubwa, yaani kipato cha laki nane unataka ununue gari, tena kwa milioni 4?? Vijana mna tabu sana aisee
Mtu anayetakiwa kununua gari anatakiwa awe na kipato cha milioni ngapi kwa mwezi..?
 
Back
Top Bottom