Mtu hafundishwi matumizi, anafundishwa kazi!!!Hakufanya research yake vizuri alitakiwa ajifunze hapo kwanini anapewa bei ya chini hizo ndio challenges za biashara sio kukimbilia kununua gari
Nakazia 📢Tafuta gari mkuu ule maisha...kila mtu afurahie jasho lake...anaetaka biashara akafanye kwa pesa zake
Ajiandae kuwa fundi pia.Nakazia [emoji350]
Ajiandae kuwa fundi pia.
Nina uhakika wewe ni masikini. Sitojib comments zako tena chamsingi kemea pepo.Mawazo ya kimasikini haya
Masikini wa kutupwa weweNina uhakika wewe ni masikini. Sitojib comments zako tena chamsingi kemea pepo.
Over.
Mkuu huyu jamaa mbona magari yake huwa anauza kwa bei ya kawaida sana,ni uhakika kweli ?Mtafute kuna jamaa anaitwa jacktan safari Instagram huwa ana vitu vilivyo simama na kwa bei nzuri tu.utakuja nishukuru baadae
Huyu nilimuona miyeyusho alifungia comments InstagramMkuu huyu jamaa mbona magari yake huwa anauza kwa bei ya kawaida sana,ni uhakika kweli ?
AU NI MIYEYUSHO TU KWAKE ?
Huyu atakuwa tapeli anashawishi watu wamtumie hela awaletee gari ndo mana Instagram yake kafunga commentsMkuu huyu jamaa mbona magari yake huwa anauza kwa bei ya kawaida sana,ni uhakika kweli ?
AU NI MIYEYUSHO TU KWAKE ?
Dah na kwa nini afunge comments aiseeHuyu atakuwa tapeli anashawishi watu wamtumie hela awaletee gari ndo mana Instagram yake kafunga comments
Ndo apige hela za watu vizuri asiwepo wa kucoment negative amuharibie biashara ya utapeliDah na kwa nini afunge comments aisee
Hakufanya research yake vizuri alitakiwa ajifunze hapo kwanini anapewa bei ya chini hizo ndio challenges za biashara sio kukimbilia kununua gari
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Humu jamiiforum siku hzi si kwa kuomba ushauri ....kuna madogo wa shule na wakaa kwa waume wa dada zao wamevamia humu siku hizi
Full of bullshit!!!
What if biashara ikienda vizuri?Kuna watu huwa mnajiregard mna akili nyingi sana, hiv unatoa wapi ujeuri wa kumpangia mtu matumizi ya hela yake wakati hujamsaidia kuitafuta na Wala hukumpa ushauri wa jinsi ya kuipata hyo 4 million??. Kama huna idea na magari kaa kimya mkuu kwani shingapi? Je, akiinvest biasha ikaenda vibaya? utamsharije Tena..