Kwa milioni 4 ninunue gari gani iliyotumika?

Mtafute kuna jamaa anaitwa jacktan safari Instagram huwa ana vitu vilivyo simama na kwa bei nzuri tu.utakuja nishukuru baadae
Mkuu huyu jamaa mbona magari yake huwa anauza kwa bei ya kawaida sana,ni uhakika kweli ?

AU NI MIYEYUSHO TU KWAKE ?
 
Mkuu huyu jamaa mbona magari yake huwa anauza kwa bei ya kawaida sana,ni uhakika kweli ?

AU NI MIYEYUSHO TU KWAKE ?
Huyu nilimuona miyeyusho alifungia comments Instagram
 
Mkuu huyu jamaa mbona magari yake huwa anauza kwa bei ya kawaida sana,ni uhakika kweli ?

AU NI MIYEYUSHO TU KWAKE ?
Huyu atakuwa tapeli anashawishi watu wamtumie hela awaletee gari ndo mana Instagram yake kafunga comments
 
Humu jamiiforum siku hzi si kwa kuomba ushauri ....kuna madogo wa shule na wakaa kwa waume wa dada zao wamevamia humu siku hizi

Full of bullshit!!!
 
Kuna watu huwa mnajiregard mna akili nyingi sana, hiv unatoa wapi ujeuri wa kumpangia mtu matumizi ya hela yake wakati hujamsaidia kuitafuta na Wala hukumpa ushauri wa jinsi ya kuipata hyo 4 million??. Kama huna idea na magari kaa kimya mkuu kwani shingapi? Je, akiinvest biasha ikaenda vibaya? utamsharije Tena..
Hakufanya research yake vizuri alitakiwa ajifunze hapo kwanini anapewa bei ya chini hizo ndio challenges za biashara sio kukimbilia kununua gari

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Wasomi uchwara ujuaji unawasumbua qmamake yaan wanakera sana
Humu jamiiforum siku hzi si kwa kuomba ushauri ....kuna madogo wa shule na wakaa kwa waume wa dada zao wamevamia humu siku hizi

Full of bullshit!!!
 
What if biashara ikienda vizuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…