Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan hapa wewe ndio unaonekana maskini sababu bado una yale mawazo ya kizamani na kimaskini kuamini kwamba gari ni anasa ,Hizi ni ndoto nyingi za masikini
Unanunua gari ili uwe unawahi kazi za bosi wako.
Badala ya kuinvest
Mawazo ya maskini wengi sana wa vijijini haya.Gari ni anasa mkuu achana nalo
Boss,mil 4 kuna mark 2, mark x, altezza nk zinauzwa humu jfWewe ni tajiri
Ukiinvest wewe inatosha, wacha sisi masikini tununue magari
Kawajengee wazaz choo chakuflash, fukieni hicho cha shimo, over.Namimi ninayetaka kununua land lover 110 old model mnanishauri Nini?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hata baadhi ya Brevis namba C unaweza kupata...Boss,mil 4 kuna mark 2, mark x, altezza nk zinauzwa humu jf
100% Correct.... Wahanga ni wengi.Hizi ni ndoto nyingi za masikini
Unanunua gari ili uwe unawahi kazi za bosi wako.
Badala ya kuinvest
Haupo siriazi[emoji16][emoji16]Kuna mdau anaisukuma hii kwa budget yako hiyo gari ya biashara.
Eti anakwambia haijatumika sana [emoji2][emoji2]View attachment 2050428View attachment 2050429
Waswahili kweli ni watu wa ajabu kweli kweli hata mm najiuliza pesa za kwao?unampangiaje matumizi mtu wakati hujantafutia hizo pesa ?Tafuta uzungushe za kwako
Waswahili mnataabu sana
Bado tubapigania siti kwenye daladala za mbagala.Tupe mrejesho, umepata gari gani?
Weweeeee kwanza mpk sasa kama bado hajapata gari..imebak 1m tuNakupa odd 5 za uhakika weka mzigo wote, then kesho agiza HILLUX
[emoji28][emoji28][emoji28]Weweeeee kwanza mpk sasa kama bado hajapata gari..imebak 1m tu