Kwa mkao huu Mbowe kamkosea heshima Rais

Kwa mkao huu Mbowe kamkosea heshima Rais

Studio lete negative za Hangaya akiwa na Ndugai Mara baada yakujiuzuru oanisha na picha ya Mbowe akiwa Ikulu.
Hangaya alinuna sana akiwa na Ndugai.Akiwa na mbowe kafurahi
 
Yale yale- mbona hukusema wakati ule
Mawaziri wametolewa bastola hadharani, watu maarufu wameingiliwa na maaskari wenye silaha makazini mwao. Watu wenye mali zao wametiwa jela bila sababu za msingi.

Sasa nani angethubutu kunyanyua mdomo wakati ule?

Mimi binafsi nillingia mitini, hata JF nikawa sichangii chochote. Mwenye nguvu mpishe apite.

AlhamduliLlah, ukweli ni kuwa hakuna ambae hajashusha pumzi isipokuwa wale wachache waliofaidika kwa kujipendekeza wakati ule, sasa inawanyeshea.

Hamuulizi Makonda yuko wapi?

Hivi yule kijana aliyemtolea Nape bastola yuko wapi?

Hivi Ndugai yuko wapi?
 
Yuko huru na anajua kabisa mama hana hiyana wala kutisha watu
Ni mara elfu kuliko kukaa na mtu anaetisha mpaka unatamani uondoke upesi ukiitwa

Hata ukikutana na mnyama utamjua kama atakudhuru au anapita zake that’s exactly alivyo Chairman hapo

Kumbuka kuna Maraisi wengine akikuita unatoka jasho hata kama kuna full kiyoyozi
Kweli tumeona mengi
 
Mawaziri wametolewa bastola hadharani, watu maarufu wameingiliwa na maaskari wenye silaha makazini mwao. Watu wenye mali zao wametiwa jela bila sababu za msingi.

Sasa nani angethubutu kunyanyua mdomo wakati ule?

Mimi binafsi nillingia mitini, hata JF nikawa sichangii chochote. Mwenye nguvu mpishe apite.

AlhamduliLlah, ukweli ni kuwa hakuna ambae hajashusha pumzi isipokuwa wale wachache waliofaidika kwa kujipendekeza wakati ule, sasa inawanyeshea.

Hamuulizi Makonda yuko wapi?

Hivi yule kijana aliyemtolea Nape bastola yuko wapi?

Hivi Ndugai yuko wapi?
kumbe ndio maana hukuwa faiza yule tuliemzoea
salama lakini bibi
 
Gesture ya Mama Samia imemfanya Mbowe awe huru. Ni picha ambayo inaonyesha kuwa hakuna uadui au chuki.
Kuna udaku humu JF unasema mama Samia alishamtembelea Mbowe Ukonga, siku mbili tatu kabla hajaachiwaa. Ya JF changanya na yako.
 
Ina maana huyu chawa mpiga dili wa NCAA yeye amkosei PM kwa mkao wake wa kubinua kimbwinde chake hewani.?
Pumbavu!

Screenshot_20220305-223802.png
 
Hajamkosea abubakar kakunja nne mguu sahihi wakiislam ingekua wakikristu angekuja 4 ya mguu wakulia
 
Comte
Umetumia akili ipi kuwazia au kutafakari hiyo unayoona.

Unajua wanaume wana mkao tofauti na wanawake?? Hata hivyo huoni mwenzake alivyokaa.
Unahitaji kuwa na elimu ya lugha ya mwili(body language) na mila na desturi za watu.
 
Hajamkosea abubakar kakunja nne mguu sahihi wakiislam ingekua wakikristu angekuja 4 ya mguu wakulia
Kwa muislam ambao wanafuata mila za kiarabu kumuonyesha mtu sore ya kiatu ni kumdharau. Rais Samia licha ya kuwa Rais ni muislam pia kumbuka. Unakumbuka yule mwandishi wa habari aliyemrushia Rais Bush kiatu wakati wa mktano wake na waandishi wa habari?

 
Back
Top Bottom