Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Yaani unammanisha kuwa posture hiyo siyo au?Wala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani unammanisha kuwa posture hiyo siyo au?Wala
Inafahamika miaka mingi ujueNamaanisha kama nilivyoandika, Asiyeelewa maana haambiwi maana.
System means TISSHapo unaposema once a system always a system unamaanisha nini!?
new fact.....mbowe kamuonesha kwamba nimekukanyaga nimekunyooshaKwa muislam ambao wanafuata mila za kiarabu kumuonyesha mtu sore ya kiatu ni kumdharau. Rais Samia licha ya kuwa Rais ni muislam pia kumbuka. Unakumbuka yule mwandishi wa habari aliyemrushia Rais Bush kiatu wakati wa mktano wake na waandishi wa habari?
![]()
The Arabs and their flying shoes
Ethnographic works on American or European culture of shoe-throwing is absolutely necessary, argues Dabashi.www.aljazeera.com
Duuh faiza vp ww.....Namaanisha kama nilivyoandika, Asiyeelewa maana haambiwi maana.
🤣🤣🤣😅🤣🤣🤣 💯💯Hujui kuna wengine waliwahi kuambiwa wanataka kupanuliwa wapi na mkaona sawa?
View attachment 2142476
Naomba jibu langu jaman kuwa na hurumaMbona kakaa kawaida tu? Kafanywa awe comfortable na mwenyeji wake.
Kumbuka, Mbowe n Mama Samia hawajaanza kujuana leo au jana, walikuwa wote bungeni kwa miaka mingi sana, ni watu wanaojuana vyema.
Once a system always asystem.
Hebu toa mfano wa kukaa kwa adabu na heshimaKwa adabu na heshima
Utabadilisha magoli, mpaka utachoka!Sasa ni rais tena rais wetu
Yeye ni Mwenyekiti wa Chama labda walimpa mwaliko.Mbona Mbowe kaenda au alibadiri jinsia
Siku zote Mwanaume ni mtawala ni kichwa cha familia, lazima Mamlaka yake ionekane popote
Katoka jela lazima akae kwenye kundi lenye wanawake wengi, mmoja hatoshi.Mbona Mbowe kaenda au alibadiri jinsia
Mtoa mada mchonganishi mama Samia kwa hii ID yake fake hapa hajalalamika 🤣Mbona kakaa kawaida tu? Kafanywa awe comfortable na mwenyeji wake.
Kumbuka, Mbowe n Mama Samia hawajaanza kujuana leo au jana, walikuwa wote bungeni kwa miaka mingi sana, ni watu wanaojuana vyema.
Once a system always asystem.