Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kumbe unahisi??.Basi sawa.Mimi nahisi kama jamaa kadindisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unahisi??.Basi sawa.Mimi nahisi kama jamaa kadindisha
Kwahiyo Mbowe kabanaHujui kuna wengine waliwahi kuambiwa wanataka kupanuliwa wapi na mkaona sawa?
View attachment 2142476
Acha ajinafasi aisee jela miezi 7 si mchezo alimiss Sana huu mkao.Yaani Anakunja nne Kabisa? Huo ni utovu Wa Nidhamu!
Kuna anayeweza kutafsiri hii lugha kwa kiswahili, naona inafanana na kiingereza.I AM AFRAID TO PUT YOU IN THE KNOW THAT IT DOES NOT WORK THAT.
Mawaziri wametolewa bastola hadharani, watu maarufu wameingiliwa na maaskari wenye silaha makazini mwao. Watu wenye mali zao wametiwa jela bila sababu za msingi.
Sasa nani angethubutu kunyanyua mdomo wakati ule?
Mimi binafsi nillingia mitini, hata JF nikawa sichangii chochote. Mwenye nguvu mpishe apite.
AlhamduliLlah, ukweli ni kuwa hakuna ambae hajashusha pumzi isipokuwa wale wachache waliofaidika kwa kujipendekeza wakati ule, sasa inawanyeshea.
Hamuulizi Makonda yuko wapi?
Hivi yule kijana aliyemtolea Nape bastola yuko wapi?
Hivi Ndugai yuko wapi?
Hii posture hata mimi awali nilikuwa ninadhani kuwa haiko sawa. Hata hivyo uchunguzi wangu umekuja kunionyesha kuwa ni watu wengi tu wanaotumia posture hiyo wanapokuwa Ikulu, wakiwemo mabalozi wapya wanapokuwa wameenda Ikulu kwa ajili ya kuwasilisha hati zao za utambulisho
Hapo unaposema once a system always a system unamaanisha nini!?Mbona kakaa kawaida tu? Kafanywa awe comfortable na mwenyeji wake.
Kumbuka, Mbowe n Mama Samia hawajaanza kujuana leo au jana, walikuwa wote bungeni kwa miaka mingi sana, ni watu wanaojuana vyema.
Once a system always asystem.
[emoji23][emoji23][emoji23], Mimi Mwanaume Mkuu.Uende kwenye kikao chenu cha Baraza la WANAWAKE CHADEMA huko Iringa
Watakushambulia maana hawajui kuwa:
Asante mkuu. Wanashambulia kwenye keyboard huku wajifunza kitu kwa mioyo yao na akili zao. Kwa maana elimu ya body language siyo kwa kila mtuWatakushambulia maana hawajui kuwa:
Across cultures, crossing legs is seen as disrespectful and rude or casual at the very least. Body language-wise, crossing the legs in front of someone is seen as establishing dominance and displaying confidence. Coupled with crossed arms, though, it projects being closed to the interaction at hand.
![]()
Are Crossed Arms Rude? 8 Secrets Your Body Language Reveals About You
Are crossed arms rude? Body language experts reveal the secret messages you're sending through movements and gestures you make every day.www.rd.com
WalaHii posture hata mimi awali nilikuwa ninadhani kuwa haiko sawa. Hata hivyo uchunguzi wangu umekuja kunionyesha kuwa ni watu wengi tu wanaotumia posture hiyo wanapokuwa Ikulu, wakiwemo mabalozi wapya wanapokuwa wameenda Ikulu kwa ajili ya kuwasilisha hati zao za utambulisho
Hii posture haina shida, inaruhusiwa tena kimataifa!
cc: Xwake
Namaanisha kama nilivyoandika, Asiyeelewa maana haambiwi maana.Hapo unaposema once a system always a system unamaanisha nini!?
Tupe somo tukikutana na Rais tukae vipi?Sasa ni rais tena rais wetu