The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Rais kakaa kwa adabu afu kajamaa kanajitutumua utadhani kenyewe ndio kenyeji ka Ikulu,pumbafu Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais kakaa kwa adabu afu kajamaa kanajitutumua utadhani kenyewe ndio kenyeji ka Ikulu,pumbafu Sana.
Kuwe na ukweli.Alipoingia madarakani ulimsifu mnoo!Nakumbuka sana.Mawaziri wametolewa bastola hadharani, watu maarufu wameingiliwa na maaskari wenye silaha makazini mwao. Watu wenye mali zao wametiwa jela bila sababu za msingi.
Sasa nani angethubutu kunyanyua mdomo wakati ule?
Mimi binafsi nillingia mitini, hata JF nikawa sichangii chochote. Mwenye nguvu mpishe apite.
AlhamduliLlah, ukweli ni kuwa hakuna ambae hajashusha pumzi isipokuwa wale wachache waliofaidika kwa kujipendekeza wakati ule, sasa inawanyeshea.
Hamuulizi Makonda yuko wapi?
Hivi yule kijana aliyemtolea Nape bastola yuko wapi?
Hivi Ndugai yuko wapi?
Kweli tulimsifu, tuliona ni wa maana mpaka alipoanzisha genge lake la kina bashite na wa namna hiyo, tukaona "aah tumeuvaa mkenge".Kuwe na ukweli.Alipoingia madarakani ulimsifu mnoo!Nakumbuka sana.
Afadhali mkuu.Hapo huwa sina shaka na weye kuwa mkweli.Kweli tulimsifu, tuliona ni wa maana mpaka alipoanzisha genge lake la kina bashite na wa namna hiyo, tukaona "aah tumeuvaa mkenge".