Kwa mkao huu Mbowe kamkosea heshima Rais

new fact.....mbowe kamuonesha kwamba nimekukanyaga nimekunyoosha
 
Mbona kakaa kawaida tu? Kafanywa awe comfortable na mwenyeji wake.

Kumbuka, Mbowe n Mama Samia hawajaanza kujuana leo au jana, walikuwa wote bungeni kwa miaka mingi sana, ni watu wanaojuana vyema.

Once a system always asystem.
Naomba jibu langu jaman kuwa na huruma
 
Mtoa mada ni heri ungepotea kwa nyeto tu.
Sema tu mzee wako hajasota boarding schools, ungwpotezwa ili tusiuone upumbavu wako.
Mikondoo nyie
 
Siku zote Mwanaume ni mtawala ni kichwa cha familia, lazima Mamlaka yake ionekane popote
Kumbe- kwa hiyo uko juu ya mama yako mzazi
 
Kwani katiba inasemaje?tuanzie hapo kwanza kiongozi
 
Mbona kakaa kawaida tu? Kafanywa awe comfortable na mwenyeji wake.

Kumbuka, Mbowe n Mama Samia hawajaanza kujuana leo au jana, walikuwa wote bungeni kwa miaka mingi sana, ni watu wanaojuana vyema.

Once a system always asystem.
Mtoa mada mchonganishi mama Samia kwa hii ID yake fake hapa hajalalamika 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…