Xawa....... NdukiHuyo kwa avatar yangu ni Shaaban Robert, Baba wa kiswahili. Napenda kiswahili lugha poa sana ndio lugha yangu ya kwanza kuijua(fikra halisi huja kwa lugha asili), sipendi zile " xawa, tantee, jomoni, vepe, na zingine kama izo" Hua namuona fala sana anae andika au kuongea ivo
Afadhali nimekuona. Nilikuwa navuta picha za ma-porn star huko.Hiyo avatar ni mimi mwenyewe...nimejificha sura maana naona aibu sana.
Hapo nilikuwa bar Arusha napata moja moto moja baridi.
Najikubali...ndio maana nimejiweka
Hiyo Avatar yangu ni picha ya empty profile tu, lakini hilo neno Polymath' kwenye iyo Avatar ndo imebeba uhalisia wa Avatar nzima, "POLYMATH" ni nini.'? Polymath' linaeleza mtu ambaye ni Expert kwenye more than one category
I am'_ _ _ _ _
-Dreamer
-business man
-inventor
-investor
-futurist
-artist
-mathematician,
-Programmer
Siku najiunga jf nilipata shida kati ya kuchangua kati CYBERGATES AU POLYMATH kama Id: sema cybergates nalipenda zaid.
Write your reply...
Basi baba yako alikuwa handsome balaaa..
Acha hizo bana Shunie.. you are cute, hilo sina shaka nalo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna mkuu ukiona sura yangu utanikimbia
Mikononyuma.......................Mm avater nayotumia ni ya bilionea kutoa SA, anatwa Nicky oppenhermer ni former chairman wa kampuni ya alimasi huko SA inaitwa De Beers Ltd, ana utajiri wa Usd $7.7b
mm nilichangua hii picha 'avater' kuwakilisha profile yangu kwa sababu nilipata kusoma kuhusu mafanikio yake anaamini kwenye kujitua na kujitoa ili kufanikiwa haijalisi upo kwenye hali gani.. Kila mara nikiangalii picha inanifanya nikumbuke maneno yoke na pia nifanye juhudi kutimaza malengo yangu.
Kwa mnaotumia Avater kama mm hiyo avater yako ni ya nani?? Au ndo wewe.?? Pia kwa nini umechangua hiyo avater tupe japo ka story behind
Mkuu ww ushamuunda shunie wako ujue siku ya siku usinikimbie ujueAcha hizo bana Shunie.. you are cute, hilo sina shaka nalo.
Kichwa KichafuNapita mkuu
Niambie MamaKichwa Kichafu
Ujajieleza badoNiambie Mama
King Khan... Baba Suhana,baba Aryan baba AbramHuyo kwa avatar ni Shahrukh Khan, king of bollywood. Huwa ananinspire sana. Ukifuatilia story yake alianza chin kabisa bila kubebwa. Juhudi na nidham ndio zimemfanya kuwa muigizaj wa pili kwa utajiri duniani.
Naamin kwenye kila mafanikio kuna siri nyuma yake, siri ya wengi ni juhudi na nidham kwa kile unacho kifanya.
UmenenepaaaaaNimejiweka mwenyewe