SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,986
- 2,664
Weka 4g,3g,2g(auto)Halafu ndo nachagua ipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka 4g,3g,2g(auto)Halafu ndo nachagua ipi
Notification gani Mkuu?Mi nimefanikiwa kuiroot ila tatizo kila mara inaleta notification mpaka inakera naomba msaada wenu kwa anaefahamu jinsi yakufanya ili zisitokee
Haina impact haibadili chochote inabaki ileile 3GWeka 4g,3g,2g(auto)
Je mwanzo hiyo H+ ilikuewepo?Haina impact haibadili chochote inabaki ileile 3G
Ilikuwepo had 4G,sasa hivi nikienda kwenye system update wananambia is currently updated, hapo ndpo wanaponivurugaJe mwanzo hiyo H+ ilikuewepo?
Maana hiyo simu naifaham vizuri mkuu.
Kama ilikuwepo basi nenda kwenye system updates angalia kama kuna new update, yawezekana huyo ulie mpelekea aliiflash so ikaanza upya, na hizo simu zilitoka hazina hiyo feature, baadae ilikuja kutumwa kama update.
Na una hakika uli uninstall playstore tu.Ilikuwepo had 4G,sasa hivi nikienda kwenye system update wananambia is currently updated, hapo ndpo wanaponivuruga
Mtandao uko vzur,sasa cjajua hii update ya simu nifanyajeNa una hakika uli uninstall playstore tu.
Lkn kwa ufaham wangu hilo swala ni la hardware zaidi, sasa sijajua shida ni nini hapo, au mtandao na eneo ulipo.
Mkuu shida ni H+ au mtandao upo slow?Mtandao uko vzur,sasa cjajua hii update ya simu nifanyaje
Mkuu ku root simu ni somo refu na linahitaji muda na uelewa kama ni kuelekezwa online.Naomba mnisaidie jaman ku root simu maana yake nnn?? Na ufanye hivo iweje yaani
Utakuwa hujui nini unafanya mkuu...sijaona faida
Tatizo lishakuwa solved kaka,sasaivi chombo kipo vizuri.shukrani sana.Umefikia wapi mkuu Sir_Mimi
Nahitaji kujua japo kwa kifupiMkuu ku root simu ni somo refu na linahitaji muda na uelewa kama ni kuelekezwa online.
Umefikia wapi mkuu Sir_Mimi
Basi vizuriMkuu tofautisha ku-swap na ku-expand pia na Ku-add ram utaelewa in kwa nini huwezi ongeza Ram
Karibu kwenye ulimwengu wa NougatNimefanikiwa ku-root Samsung Galaxy S2 GT-i9100, then nika-install Lineage 14 custom rom, ambayo ni Nougat 7.1.1