Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

Alihehack game la GTA SAN ANDRES OR VICE CITY
baada ya kuroot simu[emoji137][emoji137][emoji137][emoji119][emoji119][emoji119]aniambie alifanyajeee
 
Karibu kwenye ulimwengu wa Nougat
Mkuu joblee naomba link ya kudownload nougat kwenye s3 maana me nlidownload moja eti ina mb 306 nika install via sd card na simu yangu ilikua rooted ila nlipomaliza simu haina network na camera na vitu vingi havifanyi kazi
 
Mkuu joblee naomba link ya kudownload nougat kwenye s3 maana me nlidownload moja eti ina mb 306 nika install via sd card na simu yangu ilikua rooted ila nlipomaliza simu haina network na camera na vitu vingi havifanyi kazi
Ulipata?
 
Mkuu joblee naomba link ya kudownload nougat kwenye s3 maana me nlidownload moja eti ina mb 306 nika install via sd card na simu yangu ilikua rooted ila nlipomaliza simu haina network na camera na vitu vingi havifanyi kazi
Pole sana, hope utapata msaada!
 
Mkuu na mimi naomba link la kupata nougat
Simu yangu Ni tecno y6
Nimeiupdrade kwenye mashdawall android 6.0
 


Una mbwembwe
 
nimefanikiwa kuroot tekno h5 nipe maujanja niweze kuifurahia mkuu
 
Utakuwa hujui nini unafanya mkuu...
Binafsi kumiliki simu ambayo haipo rooted ni sawa na kuishi na mwanamke aise zaa.
Mkuu natumia tecno C5 nineiroot kwa kingroot je naweza kuiupgrade to Marshmallow??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…