Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

Kwa me naona njia salama na rahisi ya kuroot cm ni kutumia Kingroot hzo nyingne zinahtaj uwe mjuzi na mzoefu
 
Yan nkiroot simu yang c9 ikifka 51% inaniandkia hvo jmn tatzo n nn wakuu naomba msaada
b3d02d8dbaf89817b6e913fbd0a9596b.jpg
 
Naomba msaada wa namna ya kuroot simu maana haikubali Google play services kwa hiyo nashindwa kuupload app ambazo zipo under Google
 
kuroot simu mm ni mtaalam lakini sijaona faida ya kuroot simu binafsi
 
Marshmallow haifai kuroot vinginevyo utaua simu yako
 
kama ni android 6.0 hazikubali kurootiwa pia ni visimu vyenye matatizo mengi
 
Rooting inakupa access ya "kuifanya" simu yako ya Android uipendavyo kwa upande wa Software including OS..

Ku root simu mkuu inategemea aina ya simu japo kuna apps na softwares ambazo zipo multipurpose kwa ajili ya kuroot aina tofauti za simu..

Unaweza kiroot kwa kutumia 'box' au kwa PC+ software au simu yenyewe kwa kutumia apps na flashable zip files...

Kabla ya kuchukua maamuzi ya ku root simh yako yapaswa kifaham madhara na faida zake...!

Hasara ninazoweza kukutajia mbili kuu ni

1. Kupoteza warranty ya simu yako
2. Kuwa kwenye hatihati ya 'kuua' simu yako..

Binafsi siwezi kukaa na simu isiyorootiwa...
Mrejesho;


Simu niliyoi root Ilikuja kufa mkuu.


NB;
Rooting is at your own risk!
 
Kwa waliweza ku root Tecno boom J8 nipeni maujanja nami nijidai basi
 
Wakuu naombeni msaada kwa iliyeroot android kuanzia 5 mpaka seven anisaidie kuondoa license verification kwenye iyo filmic app maana marshmallow yangu imegoma kabisa na kuilipia siwezi
 

Attachments

Nataka kuroot tecno camon inagoma. Nimetumia kingroot.
 
Nataka kuroot tecno camon inagoma. Nimetumia kingroot.
 
Wakuu naombeni msaada kwa iliyeroot android kuanzia 5 mpaka seven anisaidie kuondoa license verification kwenye iyo filmic app maana marshmallow yangu imegoma kabisa na kuilipia siwezi
umejaribu kutumia lucky patcher
 
Exploit za 6.0 zipo sema wewe hujui na unapenda rahis.....unataka one touch root
Ebu tuwekee hizo Exploit za 6.0 mkuu na mimi nataka ni root ya kwangu

Nimetumia hizi nyingine nimechemka
 
Back
Top Bottom