- Thread starter
- #81
SawaHuyo demu alishaona yuko na mwanamke mwenzake ndo maana akaamua akubali mwanaume amuoe. Wewe hapo ni kama shosti yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaHuyo demu alishaona yuko na mwanamke mwenzake ndo maana akaamua akubali mwanaume amuoe. Wewe hapo ni kama shosti yake.
Ambition yako na vipunga wenzako wa generation ya zamani iko wapi? zaidi ya legacy ya umaskini na upumbavu mmeifanyia nini nchi? tunadharaulika dunia nzima na miaka zaidi ya 60 ya uhuruhii generation inakosa ambition ya vitu vya maana yani ni ujingaujinga tu
Safi kabisa mkuu hii haina comeback 😁😁 ni jinga hiloAmbition yako na vipunga wenzako wa generation ya zamani iko wapi? zaidi ya legacy ya umaskini na upumbavu mmeifanyia nini nchi? tunadharaulika dunia nzima na miaka zaidi ya 60 ya uhuru
Mwanamke hata awe mjanja vip lazima kuna mhuni mmoja tu anakuwa kamuingia moyoni deepKuna nyimbo ya rap ilitoka miaka ya 2000 inaitwa "Hujawajua mademu"
Hapo wewe unaambiwa hivyo, mume wake anaambiwa hivyohivyo,bwana wake wa kwanza pia anaambiwa hivyo..Huwezi kujua wakati gani mwanamke anasema ukweli, wakati gani anadanganya,huwa wana fake hadi orgasm..
Nilidhani unasema haliwezekani, kumbe ni gumu tu.? Maisha yanaweza kulilainisha na mke akawa mfano katika post kama hivi.Ndo maana swala la kuoa kwangu ni gumu sana
Unajuaje kama ndio wewe??kipi anachokwambia wewe mume wake haambiwi??kipi unachopewa wewe wenzio hawapewi??Mwanamke hata awe mjanja vip lazima kuna mhuni mmoja tu anakuwa kamuingia moyoni deep
Good Reminder👍Gentlemen doesn't kiss and tell.
Mkuu ssa akiona itakuwaje io chart nyie ndio mnaovujisha hadi picha za utupu tu maneno tu umeshindwa kukaza hivoHuyu manzi alishaolewa but bado ananichek na kunikumbuka jinsi nilivyokuwa namkunja ipasavyo! sasa huko alipoolewa kakuta hakuna kitu dah hizi ndoa hizi 😁😁
Wanangu wa kataa ndoa back up yenu muhimu waliooa wakianza kunishambulia 😁😁
View attachment 3080522
AshaskiaTell him again and again please!
Huna akili timamu wewe.Huyu manzi alishaolewa but bado ananichek na kunikumbuka jinsi nilivyokuwa namkunja ipasavyo! sasa huko alipoolewa kakuta hakuna kitu dah hizi ndoa hizi 😁😁
Wanangu wa kataa ndoa back up yenu muhimu waliooa wakianza kunishambulia 😁😁
View attachment 3080522
Hawa ni wale wa buku 7 kwenye mtaa fulani hii yote wanafanya kuyumbisha mijadala ya msingi yenye maslahi kwa ummahii generation inakosa ambition ya vitu vya maana yani ni ujingaujinga tu
Haiwezekani mkuuIko siku utaomba maji, na utapewaaa bapa LA chupa ya Safari Shavuniii.
Wee endeleaa kuneng'enekaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasemejeee, we endeleaa kuneng'enekaa hivyo hivyoo.Haiwezekani mkuu