Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaniombea mabaya? 😁😁Nasemejeee, we endeleaa kuneng'enekaa hivyo hivyoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee lazima kikulambeeee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaniombea mabaya? [emoji16][emoji16]
Utoto unamsumbuaWanaume wanakula na kunyamaza wewe matangazo hadi jamiiforum??
Sasa mimi kosa langu lipo wapi 😁😁Wee lazima kikulambeeee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utajua hiyo siku, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mimi kosa langu lipo wapi [emoji16][emoji16]
Unaiita hatari ndugu yangu..Huyu manzi alishaolewa but bado ananichek na kunikumbuka jinsi nilivyokuwa namkunja ipasavyo! sasa huko alipoolewa kakuta hakuna kitu dah hizi ndoa hizi 😁😁
Wanangu wa kataa ndoa back up yenu muhimu waliooa wakianza kunishambulia 😁😁
View attachment 3080522
Yanavyowatoka sasa 🤣🤣🤣🤣
Wanaishi nae kiroho safi mbona🤣🤣🤣Kweli Vijana mnafaidi
Wacha niendelee kumficha Bibi yenu ili msije kumuiba nyie Vijana wa hovyo
Haiwezekani km mko mikoa tofauti lkn km mko mkoa mmoja ipo siku tuHaiwezekani mkuu
Kama kawaida yako Mjukuu, lengo lako Babu yako nife Kwa Presha ya Wivu tu 😜Wanaishi nae kiroho safi mbona🤣🤣🤣
Aaah vijana wa hovyo hawashindwi kitu babu. Wanaishi nae tu kiroho saaafi kabisa. Muosha huoshwaaa🤣🤣🤣Kama kawaida yako Mjukuu, lengo lako Babu yako nife Kwa Presha ya Wivu tu 😜
Kwanza hakuna Kijana ataweza kuishi na Kizee wa Umri wa miaka 67 ya Bibi yenu 🤗
Huu ni Malaya hata by nature na hana adabu na heshima hastaili kubwa mkeHuyu manzi alishaolewa but bado ananichek na kunikumbuka jinsi nilivyokuwa namkunja ipasavyo! sasa huko alipoolewa kakuta hakuna kitu dah hizi ndoa hizi 😁😁
Wanangu wa kataa ndoa back up yenu muhimu waliooa wakianza kunishambulia 😁😁
View attachment 3080522
Umesahau kuna Wanaume na Wavulana, japo wote wana chululuuWanaume wanakula na kunyamaza wewe matangazo hadi jamiiforum?
Hahaha...............ngoja nitafute dawa zangu za Presha mapema, maana naona umeamua makusudi kunipandisha Presha leo Mjukuu 🙆Aaah vijana wa hovyo hawashindwi kitu babu. Wanaishi nae tu kiroho saaafi kabisa. Muosha huoshwaaa🤣🤣🤣
Utuachie "ulisi" kwanza kabla hujakufa🤣Hahaha...............ngoja nitafute dawa zangu za Presha mapema, maana naona umeamua makusudi kunipandisha Presha leo Mjukuu 🙆
Niletee basi Kiko yangu Mjukuu 😜