Kwa mliooa mademu zetu asee jitahidini kuwakaza vizuri wake zenu! Wanawake wenu wanatukumbuka huku

Kwa mliooa mademu zetu asee jitahidini kuwakaza vizuri wake zenu! Wanawake wenu wanatukumbuka huku

Ila hiyo reply aliyojibu huyo X wako inaweza kuamsha vilivyolala

Hadi mambo ya doggie Tena😜

Kweli Vijana mnafaidi

Wacha niendelee kumficha Bibi yenu ili msije kumuiba nyie Vijana wa hovyo
 
Achana na mke wa mtu dogo hata hayo mawasiliano kata kabisa. La sivyo utakuja upakwe BlueBand kwa hayo makalio
 
Kama kawaida yako Mjukuu, lengo lako Babu yako nife Kwa Presha ya Wivu tu 😜

Kwanza hakuna Kijana ataweza kuishi na Kizee wa Umri wa miaka 67 ya Bibi yenu 🤗
Aaah vijana wa hovyo hawashindwi kitu babu. Wanaishi nae tu kiroho saaafi kabisa. Muosha huoshwaaa🤣🤣🤣
 
Huyu manzi alishaolewa but bado ananichek na kunikumbuka jinsi nilivyokuwa namkunja ipasavyo! sasa huko alipoolewa kakuta hakuna kitu dah hizi ndoa hizi 😁😁

Wanangu wa kataa ndoa back up yenu muhimu waliooa wakianza kunishambulia 😁😁



View attachment 3080522
Huu ni Malaya hata by nature na hana adabu na heshima hastaili kubwa mke
 
Aaah vijana wa hovyo hawashindwi kitu babu. Wanaishi nae tu kiroho saaafi kabisa. Muosha huoshwaaa🤣🤣🤣
Hahaha...............ngoja nitafute dawa zangu za Presha mapema, maana naona umeamua makusudi kunipandisha Presha leo Mjukuu 🙆

Niletee basi Kiko yangu Mjukuu 😜
 
Back
Top Bottom