Kwa mliooa tukutane hapa

[emoji16]anyway atakua aeelewa lkn
 
Kijana karne hii unaoa ili iweje.!???

Yafaa nini kuweka furaha yako rehani na kukaribisha stress...

Anyway mambo yenu nawaachia wenyewe
 
Hiyo "anyway" kwenye ndoa haipo na haitakiwi kuwepo kabisa kwasababu kuoa/kuolewa kunamaanisha maisha yako, Kuna maanisha familia yako ambayo unaianzisha, Kuna maanisha furaha yako, na amani yako ukifikiria hivi utagundua Hilo neno "anyway" halina pa kukaa, na ukichagua mwenza kuangalia vigezo hivyo hautampata huyo "anyway"

Shida inakuwa kwenye vigezo tulivyojiwekea, tumejiwekea vigezo vya kimwili zaidi ooh nataka mweupe, ooh mwenye mguu wa bia, oooh mwenye makalioo, na Hawa dada zetu ooh nataka mwenye mwenye ABC mwisho unaishia kwenye hiyo "anyway" na hapa sijasema hivyo usiviangalie lakn unapoviangalia hivyo vigezo usisahau furaha, amani yako, Kuna mtu unamuangalia wa kawaida anakupa furaha ukiwa na yeye anakufariji, yaani unakuwa na amani wasiwasi na mashaka ya kuchapiwa huna anakupa kujiamini, kwa huyo utawaza kuitengeneza familia kuliko mambo mengine. Lakini ukioa ambaye umemuangalia kwa vigezo vya mwilini nakuambia utaishi maisha ya digidigi hata kama uchumi wako uko vizuri, maana kuna wengine "wajinga wajinga" wanafikiri eti ukiwa na Hela ndio ndoa yako itatulia nakuambia hela yako itatumika kuwanunulia boxa wengine na cha kufanya utakuwa huna

HAVE A GOOD DAY
 
Babu kamaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…