Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kufahamu, una jipya gani?Mkuu nilitaka kufahamu tu kama bado ilikuwepo.
Sina.Baada ya kufahamu, una jipya gani?
Uliza maswali ya akili.Sina.
Mi huwa hata sielewi, au hajui matumizi yake, sijui huwa anamaa gani hata.Hivi naona mbona kila post na comment huyu bwana aise ana dislike? Hata huu uzi pia
Unatoa matacle?Uliza maswali ya akili.
Haahaa.......mi ni matacless....no any tacle here.Unatoa matacle?
Kidogo tu. Usiogope.Haahaa.......mi ni matacless....no any tacle here.
Alisema anamaanisha hapendi kilichoandikwa!!!!!Mi huwa hata sielewi, au hajui matumizi yake, sijui huwa anamaa gani hata.
Dogo tumejiziwa tuko katika swaumu....vinginevo ungechezea kherufi kubwa kubwa.Kidogo tu. Usiogope.
We toa matacle.Dogo tumejiziwa tuko katika swaumu....vinginevo ungechezea kherufi kubwa kubwa.
Eeh makubwaaa.....Alisema anamaanisha hapendi kilichoandikwa!!!!!
Makubwa kidogo sana.Eeh makubwaaa.....
Sasa mbona yanayomkera ni mengi kuliko anayopenda....ni hatari kwa afya yake, bora aleft.Makubwa kidogo sana.
Muache aipe kitu inataka nafsi yake.Sasa mbona yanayomkera ni mengi kuliko anayopenda....ni hatari kwa afya yake, bora aleft.
Nilidhani ni bahati mbaya kumbe ni koteMi huwa hata sielewi, au hajui matumizi yake, sijui huwa anamaa gani hata.
Kawaida yakeNilidhani ni bahati mbaya kumbe ni kote
Sehem gan mm sijaonaHivi naona mbona kila post na comment huyu bwana aise ana dislike? Hata huu uzi pia
anzia huu uzi mkuu na nyuzi zingine pita pita utamkutaSehem gan mm sijaona