Kwa mnaomfahamu Dida, amefanya surgery huu uso au ndio huwa yupo hivi?

Eve.... aisee kuna hawa majamaa wa humu wanajifanya hawamjui sasa sijui wanona ni sifa kwamba kumfahamu Bhuyu mdada pengine wanona ndio ujanja au kuonekana wa kijijini ndio ujanja ,,waambie HUO NI USHAMBA
 
Subiri ulale sasa, leo usiku anakuja na wapambe kukuchamba kwenye usingizi wako. Na ninasikia anapenda kutia watu vidole huyu huku akiwapiga picha.
 
Afu mbali na kukosa mvuto huko bado anaolewa Mara kumikumi[emoji15][emoji13][emoji86]....hakika ukishangaa ya Dida utafumaniana na ya Rose mhando
Pengine anapiga miguu yote kwa ustadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…