Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Leo nina muda shemeji yako yuko busy, tukumbushane mbali 🤣🤣🤣Nifah umenkumbusha mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo nina muda shemeji yako yuko busy, tukumbushane mbali 🤣🤣🤣Nifah umenkumbusha mbali
Nami ndio maana nikatumia neno please! No hard feelings darling,Ndio maana nikaandika nahisi
Redio au tv gani?Nii host kipind cha mashamsham pamoja na juma lokole na Idris wa kitaa.... Tano kamili mpk nane kamili mchana, jumatatu mpk ijumaa
Anafanya dhambi za fashion...Mungu hakupi vyote! Dida kabarikiwa kipato ila kipaji cha kujua avae nini au nywele gani ya kumpendeza ndio kanyimwa.
Huyu katika ulimwengu wa fashion tumpe msamaha, ni kumuonea tu kumuongelea.
Wapi Atoto et al the team kiba 🤣🤣🤣 muda unakimbia, ulivomtetea kwa hisia nikakumbuka enzi hizo....pale Dinazarde basi tafraniLeo nina muda shemeji yako yuko busy, tukumbushane mbali 🤣🤣🤣
Wewe Tena [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119]Ali Kiba muache please, nimeonana nae mara nyingi naweza kuthibitisha pasi na shaka hana tatizo hilo.
Hizo ni video nimescreenshot, ndio nywele zipo hivo kama kavaa kofia ila picha harusi alikua vizuri....Picha tu zisikutishe
Those days....[emoji38]Wapi Atoto et al the team kiba [emoji1787][emoji1787][emoji1787] muda unakimbia, ulivomtetea kwa hisia nikakumbuka enzi hizo....pale Dinazarde basi tafrani
Hivi Aziz Ki ana ubaya gani? Dogo ana unyama mwingi na kuvaa ndio balaa.Apo utaskia mwanaume gani km urojo wa Zanzibar [emoji3],
Nawe mwanamk gani km azizi ki[emoji16]
Nasikiaga jina lake ni Hadija kaliedit likafika kuwa dida sijui ni kweliHivi Kuna mwanamke anaitwa dida? Mimi nafahamu kwa Tanzania mwenye jina la utani la dida ni golkipa mmoja
Wenyewe wenye makomwe ndo tunajua staili zetu[emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hizo ni video nimescreenshot, ndio nywele zipo hivo kama kavaa kofia ila picha harusi alikua vizuri....
ANAITWA KhadijaHivi Kuna mwanamke anaitwa dida? Mimi nafahamu kwa Tanzania mwenye jina la utani la dida ni golkipa mmoja
Ndio Khadija ShaibuNasikiaga jina lake ni Hadija kaliedit likafika kuwa dida sijui ni kweli
Kuna watu hata wavae nini hawapendeziHivi unadhani kuwa na hela ndio kujua kuvaa?
Na mpaka uende kwa stylist/designer maana yake unajua kuvaa tayari.
Yeye hayo sio shida zake, anajivalia zake kama enzi za akina Aisha Madinda wakinengua majukwaani.
Na umaarufu unamchangia kuwa hivoNdio vijana huwa wanawinda hayo maokoto yake, wanatangaza ndoa asubuhi na jioni