Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu ana komwe akinawa kama anaosha parachichi hajui mwanzo wa sura ni wapi....Wenyewe wenye makomwe ndo tunajua staili zetu[emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Bado mshamba. Kwa lugha nyepesi.Mungu hakupi vyote! Dida kabarikiwa kipato ila kipaji cha kujua avae nini au nywele gani ya kumpendeza ndio kanyimwa.
Huyu katika ulimwengu wa fashion tumpe msamaha, ni kumuonea tu kumuongelea.
Yaani kama amefunika nyanya na Ganda la kabichi.....Itakua wigi kubwa kichwa kidogo imebidi ali adjust kwa mbele
Mbona hamumtaji Mwasiti wetu jamani....Yuke jaklini kweli alikua hot Sana Tena Sana!!sijui Ndo karudi mambo yamempita Kawa wa kawaida sana
Bas asiwe anaachika mkuuPengine anapiga miguu yote kwa ustadi.
Hafu ukishafahamu italeta Ugali Mezani...!?Katika pita pita huku mtandaoni nikakutana tu na picha zake nikawa nashangaa kama vile kavaa helmet ila sio....nywele zimekutana na nyusi....
View attachment 2789072
View attachment 2789073
View attachment 2789075
Kikomwe chake kimeenda wapi sasa na kwenye harusi kilikuwepo. Anyway ana kipaji cha kuchamba watu.....
dida ni homa ya jijiDida ni nani???
Umewahi kuchambwa? Muulize yule mkurya muimba taarabu kabla hujamchamba didaMungu hakupi vyote! Dida kabarikiwa kipato ila kipaji cha kujua avae nini au nywele gani ya kumpendeza ndio kanyimwa.
Huyu katika ulimwengu wa fashion tumpe msamaha, ni kumuonea tu kumuongelea.
Amekuwa hivyo ukiondoa mkorogo toka anaigiza kaole miaka ileeKatika pita pita huku mtandaoni nikakutana tu na picha zake nikawa nashangaa kama vile kavaa helmet ila sio....nywele zimekutana na nyusi....
View attachment 2789072
View attachment 2789073
View attachment 2789075
Kikomwe chake kimeenda wapi sasa na kwenye harusi kilikuwepo. Anyway ana kipaji cha kuchamba watu.....
Wakiingia ndani wanakutana na mdomo mrefu wanasepa.Bas asiwe anaachika mkuu
Hapo ana hela na ametumia filter, bora tu walau ana maokoto angekua kapuku kama mimi hali ingekua mbayaAna sura nzito kama wimbi la uji wa dona.......
Uso sasa mbona una kupwa na kujaa kama bahari???Amekuwa hivyo ukiondoa mkorogo toka anaigiza kaole miaka ilee
Sio tu ugali dada hadi pizza zinakujaHafu ukishafahamu italeta Ugali Mezani...!?
Hatarious ..... Unaweza shtuka asubuhi hana make-up ukamuona kama Zembwela.....Hapo ana hela na ametumia filter, bora tu walau ana maokoto angekua kapuku kama mimi hali ingekua mbaya
Watafutaji wapo jukwaa la biashara kule wanadiscuss mambo ya uvuvi kilimo na biashara....ila ukishakuja huku kwenye habari za wasanii nawe ni zuchu tuWajinga wenzako ndo wanamjua, sio wenye akili na watafutaji. Sijawahi hata msikia.
Walikutana chupa na mfuniko, bora hawakuzaa wangesababishia tu walimwengu dhambiHata meya pia alionewa huruma nadhani sio Kwa Ile "PUA KANTRI".....
Tajiri za asubuhi....Masikini wanapenda kujadili watu mitandaoni DIda zuchu ni watu makini hapa daslama.