Kwa mnaotaka kuja Dubai, huu ni uzi wenu

Usipende kweka kila kitu hadharani unless mtu yupo serious na huduma yako hivyo anahitaji further proof.

wabongo hawana dogo
Hata ukiwawekea Awana Cha kuifanya wengi wanaishi kwa shemeji...😂😂😂😂 Wala usijali 😂😂😂​
 
Bora umenisaidia ndugu yangu
 
Bwana Iddy, kwa ajili ya uelewa wa wengi, sio vibaya ukatoa ufafanuzi wa hoja zangu. Haya mambo ya kupigiana simu yanaleta ukakasi kind off. Wewe mwaga data hapa jukwaani
IDDY S MHANDO anataka tuongee naye kwa whatsaap! Naomba atueleze ataongeaje wakati yupo Dubai. Whatsapp haziruhusiwi kutumiwa kwa kuongea bali kuna njia ya uficho. Atueleze ataongeaje! Hapo kidogo nitakuwa na imani ingawa hana residence permit bali Tourist Visa.
 
Hujanielewa. Angalia evisa yako vizuri na unachotaka kufanya
 
Kwani shida ipo wapi nimekukwaza nini mbona kama unanishambulia...?
 
Dah nimelia sana 😭
 
Aisee baadhi ya watu mko insensitive sana....

Okay, asking for a friend. Kuna muonekano gani wa ajabu hapo ? Mi naona kijana wa watu mrefu na mtanashati.
Bora hata umeni saidia....! Kwakweli wape wabongo picha captions waachie🤣🤣🤣🤣
 
Nauli ya ndege kutoka Dar hadi Dubai ni tsh ngapi?
Fursa zipi za kazi & biashara zipo huko
 
Nauli ya ndege kutoka Dar hadi Dubai ni tsh ngapi?
Fursa zipi za kazi & biashara zipo huko
  1. Nauli haipo constantly ila ndege za AirTanzania uki booking mwezi kabla ya safari inaweza kuwa rahisi kuliko mashirika mengine ya ndege...?​
  2. Fursa zote zipo kwa kukumegea Siri tu vijana wengi mnao wasingizia kuwa wanauza madawa ya kulevya wenye frem za sinza na kwengineko mizigo yao wanaichukua moja kwa moja DUBAI ndio maana Wana mudu kulipia Kodi za frem zao🤣🤣🤣​
  3. Kazi zipo ila ni za kununua. Ila sahau kupata kazi uliyo somea...kwa kuanzia ni lazima ufanye cheap labour kwanza 😂😂😂​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…