X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #221
Sijui anacho taka ni kipi haswa...!Mkuu umeamini kama yuko dubai au bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui anacho taka ni kipi haswa...!Mkuu umeamini kama yuko dubai au bado
Usipende kweka kila kitu hadharani unless mtu yupo serious na huduma yako hivyo anahitaji further proof.
wabongo hawana dogo
Amefanya vizuri hii inamwongezea heshima maana amepata na ushauri piauzi wa dubai ushachafuliwa na picha ya mweka mada! mkuu rudi kivyengine hii imegoma...😀
Karibu sana huko computer ndiko zilipo na magari😂😂😂😂Usiende huko utaharibu uzi wako. Mimi nitakutafuta unipeleke machimbo ya Sharjah
Bora umenisaidia ndugu yanguWatanzania wengi wana roho mbaya, wana wivu usio na maana, nina mtu namfahamu anafanya kazi na taasisi moja linashughulika na malaria,jamaa anapokea pesa ndefu sana ila ukimuona unaweza ukakataa kabisa.
Muonekano, afya yenye rutuba hayo mengine ila mtu ameamua kurahisisha kwa wanaotaman kwenda huko na kupata msada wake basi naona tungebaki humo.
Hayo majitu yenye vitambi ndio kila siku yanatapeli watu mjini hapa
Mzee wa Kendrick road....ushahama kale kamji?Humu unabishana na maafisa ushafirishaji na ubashiri
Wengine wanaishi kwa shemeji hawana hata hela ya kuangalia youtube
IDDY S MHANDO anataka tuongee naye kwa whatsaap! Naomba atueleze ataongeaje wakati yupo Dubai. Whatsapp haziruhusiwi kutumiwa kwa kuongea bali kuna njia ya uficho. Atueleze ataongeaje! Hapo kidogo nitakuwa na imani ingawa hana residence permit bali Tourist Visa.Bwana Iddy, kwa ajili ya uelewa wa wengi, sio vibaya ukatoa ufafanuzi wa hoja zangu. Haya mambo ya kupigiana simu yanaleta ukakasi kind off. Wewe mwaga data hapa jukwaani
Hujanielewa. Angalia evisa yako vizuri na unachotaka kufanyaUniumbue Mimi nilie amua kutumia majina yangu ya ukweli...labda uumbuke wewe unae tumia nik name...!
Hata ukisema nikurushie kitambulisho changu naweza Nika kutumia Tena hapa hapa kwenye post...sijui unacho bishania hapa ni kipi kwani Dubai ni mbinguni siwezi kwenda au...!
Nilishahama kule 😀Mzee wa Kendrick road....ushahama kale kamji?
Safi sana, nimemiss sana hio nchi, my second home. Hio nchi ndio imenishape na kuwa hivi nilivyo.
Kwani shida ipo wapi nimekukwaza nini mbona kama unanishambulia...?IDDY S MHANDO anataka tuongee naye kwa whatsaap! Naomba atueleze ataongeaje wakati yupo Dubai. Whatsapp haziruhusiwi kutumiwa kwa kuongea bali kuna njia ya uficho. Atueleze ataongeaje! Hapo kidogo nitakuwa na imani ingawa hana residence permit bali Tourist Visa.
Hujanielewa. Angalia evisa yako vizuri na unachotaka kufanya
Dah nimelia sana 😭Muonekano wako mbona kama unahitaji wa kukushika mkono na wewe mwenyewe huko Dubai, ni kama fursa zimekupitia kushoto.
Boresha muonekano wako kwanza ndio uweke tangazo. Hiyo picha yako imekaa kama wewe mwenyewe ni tatizo kuliko kuwa suluhisho. Ni ngumu mtu kukuamini.
Uzuri ulishakaa huku miaka kadhaa kuja ni kugusa tuSafi sana, nimemiss sana hio nchi, my second home. Hio nchi ndio imenishape na kuwa hivi nilivyo.
Nakosa muda wa kutosha,ila mitapita tu soon.Uzuri ulishakaa huku miaka kadhaa kuja ni kugusa tu
Wanaheshimu sana mtu aliyekaa huku akurudi kwao hawana makuu
Bora hata umeni saidia....! Kwakweli wape wabongo picha captions waachie🤣🤣🤣🤣Aisee baadhi ya watu mko insensitive sana....
Okay, asking for a friend. Kuna muonekano gani wa ajabu hapo ? Mi naona kijana wa watu mrefu na mtanashati.
Nauli ya ndege kutoka Dar hadi Dubai ni tsh ngapi?Je unawaza kwenda Dubai kibiashara...?
Je unawaza kwenda Dubai kwaajili ya KUTAFUTA kazi...?
Je unawaza kwenda Dubai kutembea...?
Kwa unae taka kwenda Dubai kwa Sababu nilizo ziainisha hapo juu solution la tatizo lako Mimi ninalo.
View attachment 3017911
Ukifikiria kwenda Dubai usiogope Tena juu ya wapi utafikia, nani atakupokea airport...na ni nani atakutembeza kupata kile utakacho kifata...!
Kwa gharama nafuu sana nitakutembeza na kukuguide kwa muda tutakao elewana.
Hivyo usiogope Tena kuja Dubai...!
Nipo DUBAI kwaajili Yako njoo Whatsapp tujadiliane Katalog von mhando auf WhatsApp ansehen
{+971581480619 Whatsapp}
Nauli ya ndege kutoka Dar hadi Dubai ni tsh ngapi?
Fursa zipi za kazi & biashara zipo huko