Watu tunakuwa rated kwa uharaka na muonekano ajitahidi kuzingatia ushauri wako utamsaidia sana.Tatizo la wabongo wengi wanapenda kusifiwa kuliko kukosolewa. Nilipoandika kuhusu muonekano wengi wamekimbilia kuwa aidha namdhihaki/kumdharau jamaa ama kunanga mwili wake.
Nahisi Mkuu umeelewa zaidi dhamira na point yangu.
Kanda ya ziwa ndio wanapenda Sanaa πNishawahi kua mwembamba
Nimepima mwili wangu wa sasa miluzi ni mingi kuliko nilivyokua mwembamba
We jamaa ni miongoni mwa watu wajinga sana mliopo nchini. Hadi leo unadhani unene ndo mwonekano mzuri. Nadhaji pia unadhani kuvaa suti ndo ujanja sana. Huyo jamaa sijaona tatizo lolote kuanzia mwonekano hadi mavazi. Usimhukumu mtu kupitia mwonekano wake. Carlos alikuwa handsome na mwonekano mzuri ila gaidi.Muonekano wako mbona kama unahitaji wa kukushika mkono na wewe mwenyewe huko Dubai, ni kama fursa zimekupitia kushoto.
Boresha muonekano wako kwanza ndio uweke tangazo. Hiyo picha yako imekaa kama wewe mwenyewe ni tatizo kuliko kuwa suluhisho. Ni ngumu mtu kukuamini.
Kwa nn unasema hivi?π€£π€£π€£π€£π khaaaa!!!
Ila nimecheka aiseee!! Ww jamaa unazingua
Ebu weka picha tuone, upige kiubavu πNishawahi kua mwembamba
Nimepima mwili wangu wa sasa miluzi ni mingi kuliko nilivyokua mwembamba
Au basiSas Nyamwi dhamira yako umjazie watu kijana wa Watu au vip
Kwanza hakapo Dubai π Kuna mahala kamejiachanganyaπ€£π€£π€£Au tapeli flani hiviπ
Wabongo hujawazoea kaka? Ww ngoja nifanye mafekeche nije uko πππWivu umemjaa...achana nae...! Wewe njoo Dubai nitakupokea...!
πππππWabongo hujawazoea kaka? Ww ngoja nifanye mafekeche nije uko πππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wenyewe wame mnanga kisa muonekano afanyejeee sasa?Mhando kua serious na kitu unafanya. Maneno huwa yapo tu.. unakosa focus kwa kujib jibu kila mtu
Paulo Kagame wa Rwanda mwembamba, Obama wa USA mwembamba... list ni ndefu pengine yeye kwake mtu kibonge ndie mwenye Hali nzuri...
Shem we huoni hiyo dis πKwa nn unasema hivi?
HahahahaKwanza hakapo Dubai π Kuna mahala kamejiachanganyaπ€£π€£π€£
We jamaa nikipitia page ya Fally nakukumbuka nacheka sana ππππππππ
Mpaka apate kibali kwa Lucas ama guedeππEbu weka picha tuone, upige kiubavu π
πππππππππ Dah ! Jamani ππππWe jamaa nikipitia page ya Fally nakukumbuka nacheka sana πππ
ππMpaka apate kibali kwa Lucas ama guedeππ