Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

Nimejifunza kutokuwa na hasira humu, ukiwa na hasira tu basi

Kuna vitu ni vya kupuuzia, kwanza hata siamini Kama Kuna mtu katapeliwa na yoyote humu hiyo pesa pia Kwa jinsi watu walivyo humu pasingetosha

Tatizo mtu kaipotezea staftahi, hajui kama atakutana na Lunch, na hii hali ni kila siku, sasa cha kushangaza anakuita Tapeli wakati hana hata hiyo hela ya kutapeliwa....

Stori zozote za mafanikio ni sumu kwa mtu mwenye akili ya kimasikini, ( I second "akili ya kimasikini")
Wanataka uwaletee stori za kimasikini masikini waridhike mko level moja,....
instead ya kutaka kujifunza kutokana mafanikio yako, wao wanakuita Tapeli......
 
Ina maana mkuu mpaka sahiv hujala papuchi ya kizungu, we n wakenya tu na nigerians?
Anaogopa kunyanyapaliwa huyo na hata kupewa msala wa sexual harassment na kurudishwa bongo, unaishi kwa tahadhari zote na bila kujiamini, ndo maana nayaita maisha ya utumwani....
 
Hongera sana kwa kuwagonga mademu wa kizungu. Vipi machangudoa bao moja wanauza bei gani?
Nalog off
 
Hongera sana kwa kuwagonga mademu wa kizungu. Vipi machangudoa bao moja wanauza bei gani?
Nalog off
We mtu kakwambia anashindia mikate mademu wa kizungu atawasoma tu kwenye taarifa. Huyo muulize anapiga nyeto mara ngapi kwa siku.
 
Ungeelezea na kipato cha mtu wa kawaida uko ni shilingi ngapi, ili ndo tujue gharama ni kubwa au ndogo au kawaida.
 
Tunashukuru Per Diem kwa michango yako ya kutupa mwanga wa uko dunia lakn unatutisha asee mlo mmoja utumie 60000 kwa kilo ya nyama kuna maisha apo??

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Anazingua bado ile roho ya kibongo haijamtoka, unless awe anaishi maisha ya gharama bila kujua
Bei ya heinkein huko ni dola 3
 
Mkuu huyu jamaa hata mie sijamuelewa nia yake .
Anataka kutuelewesha
Anataka kututisha , both?

Mc donalds steers , KFC ,zipo dunia nzima na hawa jamaaa ni kama wana bei zinazolingana kote ,
Nimempa na link ajisomee na uongo wake , gharama zake zote ameziweka juu sijui kwa minajili gani
 
Msalimie Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya
 
Aiseeee afu sisi wenyewe tumeizoea tunaona sawa tu.
 
Mkuu ugali upo uko tena isije nikaja kuishi huko narudi Tanzania sina nguvu za chini.
 

Acha kutisha watu,unless hauna mchongo wa kazi, but kama umepata kazi na unalipwa kihala maisha rahisi sana.
Kima cha chini hapa norway ni mpaka NOK 33,320 ambayo ni sawa na milioni 9 za kibongo. somtu kununua bia 8500 tsh kwa mshahara wa milioni tisa kuna tofauti gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…