Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

Bongo iwe hivi watu waheshimiane
Sasa embu toa ufafanuzi kidogo uthamani wa hiyo hela ya huko dhidi ya kwetu, maana unazidi tu kunichanganya.

Wanatumia uero ama kitu gani na hudai kuwa inathamani sana kuliko yetu!

Sasa kwa mwendo huo wa kununua kilo ya nyama tisini elfu, hiyo hela inaizidije thamani shilingi ya Tz, kama kwenda kwenye manunuzi mpaka uwe na sandarusi la pesa, wakati Tz noti1 elfu10 unarudi na chenji?
 
Hii thread iko kitapeli mnoo.
Kuna watu wanakwenda kutapeliwa hapa JF kiulaini sana.

Kwa kuwasaidia baadhi ya watu hapa JF ambao hawajawahi kufika ulaya, taarifa nzima ya gharama na mfumo wa maisha ya eneo lolote husika katika nchi ya Norway inaweza kuipata kwa usahihi wa karibu 99% kwenye mitandao ya taarifa rasmi za nchi ya Norway. Unaweza kujua hata bei ya kununua changadoa na ukapewa, huhitaji kuja kulishwa matango pori ya wajanja na matapeli wa hapa JF.

Kwa mfano kupitia websites za;
-numbeo.com
-fullsuitcase.com
 
Hahaha fafanua kidogo hapo nilipoweka wino mzito.
mzee umasikini unanukia, sio kwenye nchi tu , hata familia au nyumba fulani ukienda na kukaribishwa ndani, hali ya hewa tu mle ndani inaweza kukupa jibu kuwa nyumba hii umasikini umetapakaa (roho ya umasikini), umasikini ni roho na inaweza kutambuliwa kwa lugha ya kiroho (discerning in the spirit). utajiri vilevile, kuna hali inakuambia na kwa uhakika kuwa mji huu ni wa kitajiri, nyumba hii ni yakitajiri, mtu huyu ni tajiri au masikini etc., mtu huyu ni mwema, mtu huyu ni hatari, mazingira haya ni hatari au salama au yana huzuni etc.
 
Mi nataka kazi, wangari ndio anatafuta ndoa....
Hahahahhahaa umenilabel aise...hhaha...education is sexy😀😀!
Kuna dini fulani wanasemaga ukiolewa UNASITIRIKA! huwa sielewi maana ya kusitirika !
_jisitiri(li)? Naonaga linatumika kama ujisitiri kimavazi vile ??ah sijui bwana .acha nikasitirike majuu!😒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…