Kwa moto huu wa FC Constantine, Simba wajiandae kugongwa nyingi sana

Hao Bravo wamewatoa Coastal Union ambao nyie mlibebwa kwa goli la offside la Baleke,umepigwa 3 na Tabora ndio uje kuwafunga Bravos?Umefungwa na wakimbimbizi nyumbani
Akili timamu unazo kwanza?
 
Maajabu ya dunia Alie WA mwisho kwenye kundi Lao anampa ushauri WA Kwanza kwenye kundi lake. Wonder shallow never endπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Reactions: Tui
Itakuwa aibu kama waliyopata yanga au zaidi kiongozi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…