Kwa mpira wanaocheza Brazil na kukata pumzi kipindi cha pili, nawashauri mashabiki wake waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia

Kwa mpira wanaocheza Brazil na kukata pumzi kipindi cha pili, nawashauri mashabiki wake waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Muda huu Brazil wamejaa matumaini hewa kwamba wao ni bora. Kiufundi, Korea hawakubana njia, waliacha open spaces kila mahali na walikuwa na mfumo mbovu wa kukaba pale walipopoteza mpira.

Nikiwaangalia Croatia, ninaona Brazil akienda kukutana na mechi ngumu sana japo wakijitahidi watapita. Funga kazi ni pale nusu fainali watakapokutana na Argentina (wanaojua kubana spaces zote) basi tutarajie kilio na msiba kuelekea Rio de Janeiro.

Nawashauri mashabiki wa Brazil waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia. Brazil hii ni nyepesi sana na imejaa watoto laini.

 
Muda huu Brazil wamejaa matumaini hewa kwamba wao ni bora. Kiufundi, Korea hawakubana njia, waliacha open spaces kila mahali na walikuwa na mfumo mbovu wa kukaba pale walipopoteza mpira.

Nikiwaangalia Croatia, ninaona Brazil akienda kukutana na mechi ngumu sana japo wakijitahidi watapita. Funga kazi ni pale nusu fainali watakapokutana na Argentina (wanaojua kubana spaces zote) basi tutarajie kilio na msiba kuelekea Rio de Janeiro.

Nawashauri mashabiki wa Brazil waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia. Brazil hii ni nyepesi sana na imejaa watoto laini.

Hivi kuna mtu ataacha kulia kwa ajili ya maji na umeme vinavyorudisha nyuma maendeleo badala yake wataililia Brazil?
 
Muda huu Brazil wamejaa matumaini hewa kwamba wao ni bora. Kiufundi, Korea hawakubana njia, waliacha open spaces kila mahali na walikuwa na mfumo mbovu wa kukaba pale walipopoteza mpira.

Nikiwaangalia Croatia, ninaona Brazil akienda kukutana na mechi ngumu sana japo wakijitahidi watapita. Funga kazi ni pale nusu fainali watakapokutana na Argentina (wanaojua kubana spaces zote) basi tutarajie kilio na msiba kuelekea Rio de Janeiro.

Nawashauri mashabiki wa Brazil waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia. Brazil hii ni nyepesi sana na imejaa watoto laini.

First half ashapiga goli nne ulitaka second half aingie tena kukimbizana uwanjani? World cup game zinakuja karibu hakuna muda wa kutosha kupumzika kwaiyo lazima kubalansi pumzi na nguvu pale ambapo hakuna haja ya kutumia nguvu kubwa unarelax tu.. croatia atafungwa na brazil kilaini kabisa semi final zikikutana na brazil na argentina itakua mechi nzuri sana.. kwa timu za taifa mimi ni shabiki wa itary hatupo qatar ila kwa world cup hii karata yangu namwekea brazil
 
Natarajia kuona kati ya timu hizi; Brazil, France, Netherland na Spain zikifika nusu fainali. Unless otherwise kama kati yao zitakutana kwenye hatua inayofuata ya robo fainali.

Waingereza na Wareno, nawaona kama wachumba tu.
Mimi natherland bado hajanishawishi sina uhakika kama atapita kwa argentina
 
Natarajia kuona kati ya timu hizi; Brazil, France, Netherland na Spain zikifika nusu fainali. Unless otherwise kama kati yao zitakutana kwenye hatua inayofuata ya robo fainali.

Waingereza na Wareno, nawaona kama wachumba tu.
Sisi wareno tumepokea matusi yako lakini kaa ukijua mchumba anaweza kuwa wa jinsia yoyote
Portugal tunacheza fainali mwaka huu
 
Ndoto za mchana zinafurahisha,,, ni nani aliyekupa uhakika wa mholanzi kufungwa na Argentina tuanzie hapo maana ushaiona hadi nusu fainali kwa mujibu wa ndoto yako
Uholanzi hana mpira wa kupambana na Argentina. Mechi ya hao magwiji wa amerika ya kusini itakuwa ngumu lakini Brazil atatolewa iwapo atafanikiwa kumtoa Croatia.
 
Back
Top Bottom