Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivuTimu imejaa mabishoo wanapiga mpira kibishoo sana aisee ( utozi mwingi mno)
Kwa Brazil hii Kufika Nusu Fainali itakua kipengele kingine.
Japo mimi ni Team [emoji1054]
Bahati mbaya wachumba wako bado wapo na kidume chako Spain amepigwa 3 safi sasa wako Madrid mtaaniNatarajia kuona kati ya timu hizi; Brazil, France, Netherland na Spain zikifika nusu fainali. Unless otherwise kama kati yao zitakutana kwenye hatua inayofuata ya robo fainali.
Waingereza na Wareno, nawaona kama wachumba tu.
Huyo kocha nimwana upindeUholanzi wanatimu nzuri sana. Ila kocha wao simuelewi kwa nini anamuanzisha bechi teun Koopmeiners
Muda huu Brazil wamejaa matumaini hewa kwamba wao ni bora. Kiufundi, Korea hawakubana njia, waliacha open spaces kila mahali na walikuwa na mfumo mbovu wa kukaba pale walipopoteza mpira.
Nikiwaangalia Croatia, ninaona Brazil akienda kukutana na mechi ngumu sana japo wakijitahidi watapita. Funga kazi ni pale nusu fainali watakapokutana na Argentina (wanaojua kubana spaces zote) basi tutarajie kilio na msiba kuelekea Rio de Janeiro.
Nawashauri mashabiki wa Brazil waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia. Brazil hii ni nyepesi sana na imejaa watoto laini.
Kwa mpira huu wanaocheza Ubelgiji nawashauri wasiende Qatar kuepuka aibu
Naangalia mechi kati ya Misri na Ubelgiji hapa na ninaona hawa Wabelgiji warudi nyumbani kwao kuepuka dhahama kwenye Kombe la Dunia. Beki zinakatika na kutoa maboko, haziwezi kufanya marking wala kukaa man to man. Forward hazifanyi attempt yoyote zaidi ya kupiga back pass. Wameshapigwa 2 bila.www.jamiiforums.com
Brazil ni timu soft sana, haifiki mbali.
Dogo uwe unatusikiliza wakongwe. Nimeangalia makombe ya dunia saba.First half ashapiga goli nne ulitaka second half aingie tena kukimbizana uwanjani? World cup game zinakuja karibu hakuna muda wa kutosha kupumzika kwaiyo lazima kubalansi pumzi na nguvu pale ambapo hakuna haja ya kutumia nguvu kubwa unarelax tu.. croatia atafungwa na brazil kilaini kabisa semi final zikikutana na brazil na argentina itakua mechi nzuri sana.. kwa timu za taifa mimi ni shabiki wa itary hatupo qatar ila kwa world cup hii karata yangu namwekea brazil
UPO SAWA ,TATHIMINI YAKO NI SAHIHI.Muda huu Brazil wamejaa matumaini hewa kwamba wao ni bora. Kiufundi, Korea hawakubana njia, waliacha open spaces kila mahali na walikuwa na mfumo mbovu wa kukaba pale walipopoteza mpira.
Nikiwaangalia Croatia, ninaona Brazil akienda kukutana na mechi ngumu sana japo wakijitahidi watapita. Funga kazi ni pale nusu fainali watakapokutana na Argentina (wanaojua kubana spaces zote) basi tutarajie kilio na msiba kuelekea Rio de Janeiro.
Nawashauri mashabiki wa Brazil waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia. Brazil hii ni nyepesi sana na imejaa watoto laini.
Kwa mpira huu wanaocheza Ubelgiji nawashauri wasiende Qatar kuepuka aibu
Naangalia mechi kati ya Misri na Ubelgiji hapa na ninaona hawa Wabelgiji warudi nyumbani kwao kuepuka dhahama kwenye Kombe la Dunia. Beki zinakatika na kutoa maboko, haziwezi kufanya marking wala kukaa man to man. Forward hazifanyi attempt yoyote zaidi ya kupiga back pass. Wameshapigwa 2 bila.www.jamiiforums.com
tumerudi aisee. ILA NASEMA HAPA ARGENTINA ANATOLEWA NA UHOLANZI. Ulaya wanacheza mpira wa viwango tofauta na wengine wanategemea sifa za kijinga, majina na ubishoo kama brazil.Sidhani kama unawafahamu Croatia vizuri. Tutarudi hapa ijumaa saa mbili usiku.
Mkuu Argentina ndio mabingwa wa mwaka huu, hawaendi kokote. Mpira wao uko compact sana hivyo watafanikiwa kubeba kombe.tumerudi aisee. ILA NASEMA HAPA ARGENTINA ANATOLEWA NA UHOLANZI. Ulaya wanacheza mpira wa viwango tofauta na wengine wanategemea sifa za kijinga, majina na ubishoo kama brazil.