ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Ngoja watolewe utageuza manenoMkuu Argentina ndio mabingwa wa mwaka huu, hawaendi kokote. Mpira wao uko compact sana hivyo watafanikiwa kubeba kombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja watolewe utageuza manenoMkuu Argentina ndio mabingwa wa mwaka huu, hawaendi kokote. Mpira wao uko compact sana hivyo watafanikiwa kubeba kombe.
NakupingaMkuu Argentina ndio mabingwa wa mwaka huu, hawaendi kokote. Mpira wao uko compact sana hivyo watafanikiwa kubeba kombe.
Ubora upi?Mimi siongei kishabiki naangalia ubora wa timu.
nakuambia ulaya wamejipanga aisee. Usishangae mtu akipasuka.Mkuu Argentina ndio mabingwa wa mwaka huu, hawaendi kokote. Mpira wao uko compact sana hivyo watafanikiwa kubeba kombe.
Wewe kajamaaMimi siongei kishabiki naangalia ubora wa timu.
Boss em njoo na thread ya kutabiri bingwa wa kombe la duniaMuda huu Brazil wamejaa matumaini hewa kwamba wao ni bora. Kiufundi, Korea hawakubana njia, waliacha open spaces kila mahali na walikuwa na mfumo mbovu wa kukaba pale walipopoteza mpira.
Nikiwaangalia Croatia, ninaona Brazil akienda kukutana na mechi ngumu sana japo wakijitahidi watapita. Funga kazi ni pale nusu fainali watakapokutana na Argentina (wanaojua kubana spaces zote) basi tutarajie kilio na msiba kuelekea Rio de Janeiro.
Nawashauri mashabiki wa Brazil waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia. Brazil hii ni nyepesi sana na imejaa watoto laini.
Kwa mpira huu wanaocheza Ubelgiji nawashauri wasiende Qatar kuepuka aibu
Naangalia mechi kati ya Misri na Ubelgiji hapa na ninaona hawa Wabelgiji warudi nyumbani kwao kuepuka dhahama kwenye Kombe la Dunia. Beki zinakatika na kutoa maboko, haziwezi kufanya marking wala kukaa man to man. Forward hazifanyi attempt yoyote zaidi ya kupiga back pass. Wameshapigwa 2 bila.www.jamiiforums.com
hapana. Croatia ni bora kuliko holland na ndio mwisho wa argentina. ENGLAND WANACHUKUA KOMBE.Messi lazima abebe hili kombe.
Umetisha kaka.Dogo uwe unatusikiliza wakongwe. Nimeangalia makombe ya dunia saba.
Excute mpira kweli waujua asee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kila siku mnakuja na kauli kama hizo lakini Argentina wanachanja mbuga. Mechi itakuwa kali sana.
Bishoo Neymar.Muda huu Brazil wamejaa matumaini hewa kwamba wao ni bora. Kiufundi, Korea hawakubana njia, waliacha open spaces kila mahali na walikuwa na mfumo mbovu wa kukaba pale walipopoteza mpira.
Nikiwaangalia Croatia, ninaona Brazil akienda kukutana na mechi ngumu sana japo wakijitahidi watapita. Funga kazi ni pale nusu fainali watakapokutana na Argentina (wanaojua kubana spaces zote) basi tutarajie kilio na msiba kuelekea Rio de Janeiro.
Nawashauri mashabiki wa Brazil waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia. Brazil hii ni nyepesi sana na imejaa watoto laini.
Kwa mpira huu wanaocheza Ubelgiji nawashauri wasiende Qatar kuepuka aibu
Naangalia mechi kati ya Misri na Ubelgiji hapa na ninaona hawa Wabelgiji warudi nyumbani kwao kuepuka dhahama kwenye Kombe la Dunia. Beki zinakatika na kutoa maboko, haziwezi kufanya marking wala kukaa man to man. Forward hazifanyi attempt yoyote zaidi ya kupiga back pass. Wameshapigwa 2 bila.www.jamiiforums.com
Ivi demu ameenda Qatar kuuza sura tu?