Kwa mpira wanaocheza Brazil na kukata pumzi kipindi cha pili, nawashauri mashabiki wake waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia

Kwa mpira wanaocheza Brazil na kukata pumzi kipindi cha pili, nawashauri mashabiki wake waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia

ago49-su2xu.jpg
 
Muda huu Brazil wamejaa matumaini hewa kwamba wao ni bora. Kiufundi, Korea hawakubana njia, waliacha open spaces kila mahali na walikuwa na mfumo mbovu wa kukaba pale walipopoteza mpira.

Nikiwaangalia Croatia, ninaona Brazil akienda kukutana na mechi ngumu sana japo wakijitahidi watapita. Funga kazi ni pale nusu fainali watakapokutana na Argentina (wanaojua kubana spaces zote) basi tutarajie kilio na msiba kuelekea Rio de Janeiro.

Nawashauri mashabiki wa Brazil waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia. Brazil hii ni nyepesi sana na imejaa watoto laini.

Boss em njoo na thread ya kutabiri bingwa wa kombe la dunia

Mbona kama unaenda mule mule namna unavyotabiri..
 
hapana. Croatia ni bora kuliko holland na ndio mwisho wa argentina. ENGLAND WANACHUKUA KOMBE.
😂😂😂😂 Kila siku mnakuja na kauli kama hizo lakini Argentina wanachanja mbuga. Mechi itakuwa kali sana.
 
Muda huu Brazil wamejaa matumaini hewa kwamba wao ni bora. Kiufundi, Korea hawakubana njia, waliacha open spaces kila mahali na walikuwa na mfumo mbovu wa kukaba pale walipopoteza mpira.

Nikiwaangalia Croatia, ninaona Brazil akienda kukutana na mechi ngumu sana japo wakijitahidi watapita. Funga kazi ni pale nusu fainali watakapokutana na Argentina (wanaojua kubana spaces zote) basi tutarajie kilio na msiba kuelekea Rio de Janeiro.

Nawashauri mashabiki wa Brazil waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia. Brazil hii ni nyepesi sana na imejaa watoto laini.

Bishoo Neymar.
 
Back
Top Bottom