Kwa mshahara gani viongozi wa sasa wananunua nyumba za bilioni 25 uko Dubai?

Kwa mshahara gani viongozi wa sasa wananunua nyumba za bilioni 25 uko Dubai?

Mahojiano ya Daktari Kigwangala yametupa ufunuo na kutupa maswali inawezekana vipi Kiongozi wa Tanzania akanunua nyumba shilingi bilioni 25 uko Dubai,na wengine wamenunua nyumba za bilioni 6 Masaki,je wamelipwa kitu gani hadi wamepata pesa hizo,je wameuza nini hadi kupata fedha hizo!? Je ni bandari,Mlima,Mbuga au madini!?

Mnapoona wanaingia madarakani hadi wanauwana wakati wa Uchaguzi nyie mnadhani wanaenda kucheza??

Acha wajilipe ujira wao wa roho ngumu.
 
Mahojiano ya Daktari Kigwangala yametupa ufunuo na kutupa maswali inawezekana vipi Kiongozi wa Tanzania akanunua nyumba shilingi bilioni 25 uko Dubai,na wengine wamenunua nyumba za bilioni 6 Masaki,je wamelipwa kitu gani hadi wamepata pesa hizo,je wameuza nini hadi kupata fedha hizo!? Je ni bandari,Mlima,Mbuga au madini!?

Ni kipara
 
Mahojiano ya Daktari Kigwangala yametupa ufunuo na kutupa maswali inawezekana vipi Kiongozi wa Tanzania akanunua nyumba shilingi bilioni 25 uko Dubai,na wengine wamenunua nyumba za bilioni 6 Masaki,je wamelipwa kitu gani hadi wamepata pesa hizo,je wameuza nini hadi kupata fedha hizo!? Je ni bandari,Mlima,Mbuga au madini!?

Haya Mambo waulizwe Waziri wa Fedha na aliyeekuwa Waziri wa Ewra na uwezo wa takukura
 
Tafuta pesa acha kuangalia maisha ya watu, wanao hawatarithi hayo maswali yako wanahitaji tangible results.
 
Huyo nae ana wivu tu... wamempiga chini kutwa anapiga kelele kama mbuzi, kwani sisi wananchi hatujui hayo?! Tunayajua sana kwa bahati mbaya ushahidi hatuna na sisi tunasikiasikia.

Kama kweli anajiamini awataje na ushahidi wa kutosha. Yeye mwenyewe angekuwa kwenye channel bado angeiba kama hao!
Sio angeiba yeye mwenyewe walewale. Umeona wapi shahidi mwizi, mtuhumiwa mwizi na hakimu mwizi. we kuona?
 
Kiongozi wa Tanzania akanunua nyumba shilingi bilioni 25 uko Dubai,na wengine wamenunua nyumba za bilioni 6 Masaki,je wamelipwa kitu gani hadi wamepata pesa hizo,je wameuza nini hadi kupata fedha hizo!?
Kila mtu anachukua awezacho mapema ndiyo maana watu wapo radhi kuuabinadamu wenzao ili tu wakidhi azma zao
 
Back
Top Bottom