Kwa mshahara gani viongozi wa sasa wananunua nyumba za bilioni 25 uko Dubai?

Kwa mshahara gani viongozi wa sasa wananunua nyumba za bilioni 25 uko Dubai?

Nilidhani ungejikita zaidi kama kuna Waziri katika Taifa hili kanunua hiyo Nyumba kwa that amount na ionekane kama ni jambo la kawaida kabisa. Nawe unakubali iwe hivyo...
Kwa akili yako unadhani ni nani?
Ni mwenyekiti wenu janjajanja na sio hiyo tu zipo nyingi sana.
Hakuna waziri yoyote anaweza fanya ujinga huo,akiwepo ni February labda.
Wengine wanajenga hapohapo majumba ya kuishi watu 20 bila wasiwasi.
 
Wacha kuleta sweeping statements za watanzania tunafahamiana.Ukileta acussations zozote basi burden of proof ipo juu yako.Hivyo ndio inavyotakiwa iwe.Tusiwe jamii ya watu inayoaamini katika kupakaziana na kuamini majungu.
Tuache assumptions kwamba itatokea nini?Leta ushahidi madhubuti halafu tutavuka hilo daraja baada ya ushahidi kuonekana.
Upo sahihi, hata imani ya Kiislam humuweka mzinifu hatiani iwapo tu dhakari (uume) itakutwa ndani ya uke. Well and good, lakini kwa janja janja ya Wabongo kutaka proofs of no dought ili ndo uchukue hatua utakesha. Ndo maan mtuhumiwa hukamatwa kwanza baada ya kujirisha kuwa hana kosa huwachiwa. Na kwa mfanyakazi wa umma, ukikutwa na scandal sharti asimamishwe kwanza kupisha uchunguzi, na hapa ndo jiwe aligeuka kuwa mwamba. Unahitaji ushahidi kwa mbogo ndo umkamate ha ha ha ha labda km siyo hawa wanasiasa wa Sasa.
 
Hamis yeye akusanye ushahidi atuambia fulani na fulani wamenunua nyumba ughaibuni kwa price hii na ushahidi huu.
Mambo mengine mnapoyasikia muwe mnayapa muda!! Dakika mbili tu unataka ushahidi....

Au una ujamaa na wanunuzi wa nyumba?
 
Mlisema Magufuli Mbaya alikua anasema nchi imeoza mkawa mnakataa..Ni kweli alikua na makosa lakini jamaa angetusaidia sana yule Hawa watu wanaiba na sasa hakuna wa kuwagusa
 
Huyo nae ana wivu tu... wamempiga chini kutwa anapiga kelele kama mbuzi, kwani sisi wananchi hatujui hayo?! Tunayajua sana kwa bahati mbaya ushahidi hatuna na sisi tunasikiasikia.

Kama kweli anajiamini awataje na ushahidi wa kutosha. Yeye mwenyewe angekuwa kwenye channel bado angeiba kama hao!
Kwa hiyo wewe unataka kusemaje?!, amekosea kusema au nini malaya wewe!?
 
Mlisema Magufuli Mbaya alikua anasema nchi imeoza mkawa mnakataa..Ni kweli alikua na makosa lakini jamaa angetusaidia sana yule Hawa watu wanaiba na sasa hakuna wa kuwagusa
Bora aibe mtu mmoja kuliko wanavyogawana ,sasa wanafanya kushambulia kwa kasi.
 
Tena kama sasa ndio shamban la bibi haswaa!
Mawaziri ndio wenye uwezo kununua maeneo kariakoo hadi mabilioni!
DPW watu wamenunua ma-appartment Masaki hadi ya USD 2 Milllioni.
Kiukweli ni wizi juu ya wizi awamu hii tena wizi wa kutisha!
 
Nchi imefunguliwa true true sisi tusio na access ndio tunalalamika hatuna hela, hata chawa Mwinjaku baada ya kutoka Dubai katushinda leo anamiliki kasri.
 
Nchi imefunguliwa true true sisi tusio na access ndio tunalalamika hatuna hela, hata chawa Mwinjaku anatushinda leo anamiliki kasri.
Hata Yericko Nyerere kamalizia pagale lake la miaka 16 Kule Mbutu Block G kigamboni

Mama kafungua nchi nanyi vijana fungueni akili

Lissu yuko Africa Magharibi anakula perdiem za TFF zilzopatikana kwa uhamasishaji wa Mwajaku
 
Akili za Watanzania mbovu kabisa. Sasa Kwanini tuna vyombo vya dola? Kwanini tuna magazeti?

Huyu katoa hint badala ya wahusika kuingia kazini kufanyia Kazi tunabaki kumlalamikia aliyetoa hint.
 
Tena kama sasa ndio shamban la bibi haswaa!
Mawaziri ndio wenye uwezo kununua maeneo kariakoo hadi mabilioni!
DPW watu wamenunua ma-appartment Masaki hadi ya USD 2 Milllioni.
Kiukweli ni wizi juu ya wizi awamu hii tena wizi wa kutisha!
Hatarii Magu aliwakazia wanalipiziqaa...
 
Back
Top Bottom