BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Tatizo tz ni nani wa kufuatilia huo ushaidi. Okay, Kigwa keshasema, sasa unadhani ni jukumu la nani kuthibitisha lisemwalo. Labda km wewe siyo raia wa tz. Wa tz wanafahamiana vyema kwa tabia zao, mienendo na akili zao.Kwa hiyo tuwe tunahukumu watu bila ushahidi?Yaani mjinga mmoja akikurupuka tu tukukamate na uwekwe ndani.Hata China wafujaji wa mali ya umma na wala rushwa wanapigwa risasi lakini ni baada ya kufikishwa mahakamani.
Okay, let's assume ni kweli mhusika unadhani atafanywa nini, na nani. Wewe endelea kulilia ushaidi siku ukishtuka ................