Yes mkuu, Tiss ipo kulinda status ago, tiss ya uhalika iliyokuwa na heshima ni ya awamu ya kwanza tu,zingine wapigaji tuNi kweli usemalo.... ubavu huo hatuna kwa sababu tumejawa na UNAFIKI na UOGA!
Akidakwa mmoja siku hiyo atataja wote!
Ila huenda labda siku moja miaka mingi inayo watakaokuwepo wataamka. Na labda hao wanajeshi na Usalama wa taifa waache Unafiki na Upumbavu!