Kwa mshahara gani viongozi wa sasa wananunua nyumba za bilioni 25 uko Dubai?

Kwa mshahara gani viongozi wa sasa wananunua nyumba za bilioni 25 uko Dubai?

Unafikiri wamasai wanahamishwa bure serengeti mbuga zote zimeuzwa,bandari ndio kabisaaaa watu mnaamka leo hii?,too late jiwe litakumbukwa daima
 
Pumbavu kabisa, jitu linanunua nyumba ya bil25 ughaibuni huku alikotoka kwao watu wanashindwa kusoma kisa hakuna madarasa wala vifaa wakati hiyo hela ingeweza kujenga majengo ya shule ya kutosha na ndugu zake weusi wakapata elimu.

Kuna haja ya kufungua kesi mahakama za kimataifa kuiomba jumuiya ya kimataifa itusaidie kila tunapoomba misaada basi wao wataifishe mali za hawa viongozi na hizo hela watupe tu huku.
 
HANA LOLOTE HUYO MPUUZI, WIVU WA KIKE UNAMSUMBUA, NA VILE HAJATEULIWA KWA NAFASI YOYOTE IMEKUWA TABU KWELI /
>Na wale dada poa kabla ya ku proof wameanza kujitia majonzi ya kinafiki... Kana kwamba hilo ni la kweli.
 
Pumbavu kabisa, jitu linanunua nyumba ya bil25 ughaibuni huku alikotoka kwao watu wanashindwa kusoma kisa hakuna madarasa wala vifaa wakati hiyo hela ingeweza kujenga majengo ya shule ya kutosha na ndugu zake weusi wakapata elimu.

Kuna haja ya kufungua kesi mahakama za kimataifa kuiomba jumuiya ya kimataifa itusaidie kila tunapoomba misaada basi wao wataifishe mali za hawa viongozi na hizo hela watupe tu huku.
Na zile za mzalendo wenu baba ya wanyonge mlishazifuatilia alikokuwa ameficha?, na ile tril 1.3 aliyopiga naye akapigwa umeshaifuatilia? 😂😂
WAKATI HUO WIZI ULIKUWA NI TRILION TRILION TRILION.
 
Mahojiano ya Daktari Kigwangala yametupa ufunuo na kutupa maswali inawezekana vipi Kiongozi wa Tanzania akanunua nyumba shilingi bilioni 25 uko Dubai,na wengine wamenunua nyumba za bilioni 6 Masaki,je wamelipwa kitu gani hadi wamepata pesa hizo,je wameuza nini hadi kupata fedha hizo!? Je ni bandari,Mlima,Mbuga au madini!?

IMG_0069.jpeg
IMG_0008.jpeg
 
Alafu mtu kama hilo umwambie tunataka uchaguzi huru na wahaki... Atahonga manyumbu tele yavamie mitandaoni kukataa tume huru ya uchaguzi/katiba!!!
Mkisema muandamane linamwaga Hela manyumbu yake kupinga maandamano ya amani na kutaka wajeda wafanye usafi sikuhiyo kutisha watu,ajabu nao wajeda watafanya usafi kweli kisa watapigwa posho! Kazi tunayo.
Kimsingi kama unaongoza majingaa yaibiee tuu sasa uwaache ili iweje? Unga mkono 'walabu wabandali' upewe jumba dubayi, 'wasungu wa madini' upewe jumba sauzi nk. ....
 
Nilidhani ungejikita zaidi kama kuna Waziri katika Taifa hili kanunua hiyo Nyumba kwa that amount na ionekane kama ni jambo la kawaida kabisa. Nawe unakubali iwe hivyo...
Huyo waziri hana jina.Watanzania wengi wanapenda sana majungu na uzushi. Weka the record wazi waziri anaitwa nani?Isije ikawa riwaya za Ali Nacha
 
Wanacheza na kalamu kulingana na cheo chake. Wakipata kazi, kitu cha kwanza "chukuwa chako mapema ". Ndivyo ilivyo kwa viongozi wengi wa Afrika. Tuwe makini, badala ya kuchagua viongozi tunachagua "wezi".
 
Hamis yeye akusanye ushahidi atuambia fulani na fulani wamenunua nyumba ughaibuni kwa price hii na ushahidi huu.
Mkuu hata ushahidi ukija tutawafanya Nini? Kama watu wanapora chaguzi za nchi, na vyombo vya Dola vinaona fahari kulinda uchafu wa hivyo unayegemea nini? Mfano mrahisi wa hili suala la DP World, rais wetu kasaini kabisa, lakini hakuna popote kiongozi mkubwa wa Dubai kasaini, na jambo hilo limepelekwa mahakamani lakini mahakama ikawa upande wa majizi. Ni hatua Gani tumechukua?
 
Wanacheza na kalamu kulingana na cheo chake. Wakipata kazi, kitu cha kwanza "chukuwa chako mapema ". Ndivyo ilivyo kwa viongozi wengi wa Afrika. Tuwe makini, badala ya kuchagua viongozi tunachagua "wezi".
Kwani wanachaguliwa tena siku hizi, ama wanapora chaguzi? Unasikia watu wa jeuri hawataki tume huru ya uchaguzi, lengo ni kuhakikisha majizi yanazidi kubaki madarakani kwa shuruti ili waendelee kutuibia, na kulinda Mali za wizi.
 
Back
Top Bottom