Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mnapoona wanaingia madarakani hadi wanauwana wakati wa Uchaguzi nyie mnadhani wanaenda kucheza??Mahojiano ya Daktari Kigwangala yametupa ufunuo na kutupa maswali inawezekana vipi Kiongozi wa Tanzania akanunua nyumba shilingi bilioni 25 uko Dubai,na wengine wamenunua nyumba za bilioni 6 Masaki,je wamelipwa kitu gani hadi wamepata pesa hizo,je wameuza nini hadi kupata fedha hizo!? Je ni bandari,Mlima,Mbuga au madini!?
Wewe ndio mjinga hao viongozi woote waliopo sasa wote ni wale waliokuwa na JPM huyo huyo na ndiye aliwaweka.Mlimkataa jpm,mtakubali tu na huo upumbavu wenu.
Unatetea ufisadi?? Mimtu mingine sjui mkojeHuyu dishi hua kipengele.
Ni kiparaMahojiano ya Daktari Kigwangala yametupa ufunuo na kutupa maswali inawezekana vipi Kiongozi wa Tanzania akanunua nyumba shilingi bilioni 25 uko Dubai,na wengine wamenunua nyumba za bilioni 6 Masaki,je wamelipwa kitu gani hadi wamepata pesa hizo,je wameuza nini hadi kupata fedha hizo!? Je ni bandari,Mlima,Mbuga au madini!?
Hata ukiambiwa Ni kipara, au profesa , au PhD holder au Bumunda, utamfanya Nini kwa Sasa?Hamis yeye akusanye ushahidi atuambia fulani na fulani wamenunua nyumba ughaibuni kwa price hii na ushahidi huu.
Haya Mambo waulizwe Waziri wa Fedha na aliyeekuwa Waziri wa Ewra na uwezo wa takukuraMahojiano ya Daktari Kigwangala yametupa ufunuo na kutupa maswali inawezekana vipi Kiongozi wa Tanzania akanunua nyumba shilingi bilioni 25 uko Dubai,na wengine wamenunua nyumba za bilioni 6 Masaki,je wamelipwa kitu gani hadi wamepata pesa hizo,je wameuza nini hadi kupata fedha hizo!? Je ni bandari,Mlima,Mbuga au madini!?
Heri ya mwaka mpya bossUnatetea ufisadi?? Mimtu mingine sjui mkoje
Sio angeiba yeye mwenyewe walewale. Umeona wapi shahidi mwizi, mtuhumiwa mwizi na hakimu mwizi. we kuona?Huyo nae ana wivu tu... wamempiga chini kutwa anapiga kelele kama mbuzi, kwani sisi wananchi hatujui hayo?! Tunayajua sana kwa bahati mbaya ushahidi hatuna na sisi tunasikiasikia.
Kama kweli anajiamini awataje na ushahidi wa kutosha. Yeye mwenyewe angekuwa kwenye channel bado angeiba kama hao!
Mwenye akili hana haja ya kuuliza hapo. Chochote ambacho kinachukua asilimia kubwa mawazoni mwako hapo ndo jibu uliloliona wewe sahihi.Kwa hoja hii ina maana Wananchi wa Tanzania ni wafungwa huru? Au ni wafungwa wanaoota wapo huru?
Kila mtu anachukua awezacho mapema ndiyo maana watu wapo radhi kuuabinadamu wenzao ili tu wakidhi azma zaoKiongozi wa Tanzania akanunua nyumba shilingi bilioni 25 uko Dubai,na wengine wamenunua nyumba za bilioni 6 Masaki,je wamelipwa kitu gani hadi wamepata pesa hizo,je wameuza nini hadi kupata fedha hizo!?
Tunaibiwa sana WaTz.
HATUNA MTETEZI KABISA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Shamba la bibi halina mwenyewe na kila mwana familia anaruhusiwa kuvuna bili kikwazo chochote.Hivi unajua maana ya Shamba la Bibi wewe ?