You see! Hiki ndicho pekee unachokiwezaMtumeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You see! Hiki ndicho pekee unachokiwezaMtumeee
Mkuu nadhani muda umewapa watu nafasi ya kutafakari nje ya box. Wiki iliyopita haya yangechukuliwa kama siasaKibao kimegeuka duh!
There is a thin line between love and hate walahi
200k kwenda chini hukatwi kodi nadhan
Hata hivyo kweli matajiri wa bongo wanyonyaji wanalipa kiduchu sana tofauti na matajiri wa nchi zingne
Mkuu kila ninaposoma comment zako, naona ni MTU Mwenye busara Sana.Kuna mtu akiwanyoosha hawa mnasema anawachukia. Acheni tu wasiingiliwe maanake watafunga biashara halafu mtoe lawama mtetezi wa wanyonge anaua uchumi.
Mtu yeyote mwenye uchungu na nchi ukiingia deep na kuwajua vizuri hawa 'matajiri' ukipata nafasi lazima uwanyooshe
Huwa najiuliza sana taasisi kama Forbes inatumia vigezo gani kumjua tajiri namba moja katika nchi husika. Wanashindwa hata kutembelea wafanyakazi wa kampuni za tajiri husika kuangalia hali zao nao zikoje?
Juzi hapa nilileta bandiko kuhusu mishahara ya wafanyakazi wanaofanya katika kampuni za matajiri hawa wawili hapa Tz, Mo Dewji na Bakhresa.
METL GROUP, BAKHRESA GROUP Kampuni kubwa Tanzania zisizojali Wafanyakazi wake
Nilieleza jinsi wanafunzi wa nchi kama Marekani, hata hapo Kenya wanavyotamani kufanya kazi katika kampuni za matajiri wa nchi zao.
Lakini kwa hapa Bongo mambo ni tofauti kabisa, wafanyakazi wa Mo na Bakhersa wanafanya kazi kwakua hakuna mbadala, ajira hakuna. Na hiki ndicho kigezo hutumia kuwanyonya wafanyakazi kwani wanajua hana pa kwenda hata kama mshahara ni mdogo.
Embu wana JF tuangalie hili tangazo la kampuni ya tajiri namba moja Tz, Dewji.
Ni la dereva atakae husika na mauzo pia.
Hivi kweli kwa hali ya hapa Dar unamlipaje mtu mshahara wa Tsh 130,000 kwa mwezi? Mtu huyo anafamilia, analipa kodi, anasomesha, umeme, maji nk Ushahidi link hii hapa chini na screenshot zake, wasije wakabadilisha au kulitoa.
Salesperson Cum Driver. in Dar Es Salaam
Yani hata kima cha chini hawaja kifikia. Mbaya zaidi Serikali inajua haya lakini wanashindana na Mange Kimambi mitandaoni.
Waziri wa kazi na ajira tekeleza majukumu yako, sioni sababu ya nyie kushikilia nafasi hizo huku wananchi wanabyonywa na hawa mabepari wanao zidisha umasikini kwa wananchi.
View attachment 718025View attachment 718026
Unawanyoosha kupitia sheria siyo kimafia, vinginevyo utapalilia vita vya wenyewe kwa wenyewew, hata hicho ulidhamiria huta kipataKuna mtu akiwanyoosha hawa mnasema anawachukia. Acheni tu wasiingiliwe maanake watafunga biashara halafu mtoe lawama mtetezi wa wanyonge anaua uchumi.
Mtu yeyote mwenye uchungu na nchi ukiingia deep na kuwajua vizuri hawa 'matajiri' ukipata nafasi lazima uwanyooshe
Tatizo ni Sera mbovu za chama tawala ambazo zinapelekea sheria mbovu ambazo. Bdo hizo sheria mbovu hazitekelezwi kikamilifu.Huwa najiuliza sana taasisi kama Forbes inatumia vigezo gani kumjua tajiri namba moja katika nchi husika. Wanashindwa hata kutembelea wafanyakazi wa kampuni za tajiri husika kuangalia hali zao nao zikoje?
Juzi hapa nilileta bandiko kuhusu mishahara ya wafanyakazi wanaofanya katika kampuni za matajiri hawa wawili hapa Tz, Mo Dewji na Bakhresa.
METL GROUP, BAKHRESA GROUP Kampuni kubwa Tanzania zisizojali Wafanyakazi wake
Nilieleza jinsi wanafunzi wa nchi kama Marekani, hata hapo Kenya wanavyotamani kufanya kazi katika kampuni za matajiri wa nchi zao.
Lakini kwa hapa Bongo mambo ni tofauti kabisa, wafanyakazi wa Mo na Bakhersa wanafanya kazi kwakua hakuna mbadala, ajira hakuna. Na hiki ndicho kigezo hutumia kuwanyonya wafanyakazi kwani wanajua hana pa kwenda hata kama mshahara ni mdogo.
Embu wana JF tuangalie hili tangazo la kampuni ya tajiri namba moja Tz, Dewji.
Ni la dereva atakae husika na mauzo pia.
Hivi kweli kwa hali ya hapa Dar unamlipaje mtu mshahara wa Tsh 130,000 kwa mwezi? Mtu huyo anafamilia, analipa kodi, anasomesha, umeme, maji nk Ushahidi link hii hapa chini na screenshot zake, wasije wakabadilisha au kulitoa.
Salesperson Cum Driver. in Dar Es Salaam
Yani hata kima cha chini hawaja kifikia. Mbaya zaidi Serikali inajua haya lakini wanashindana na Mange Kimambi mitandaoni.
Waziri wa kazi na ajira tekeleza majukumu yako, sioni sababu ya nyie kushikilia nafasi hizo huku wananchi wanabyonywa na hawa mabepari wanao zidisha umasikini kwa wananchi.
View attachment 718025View attachment 718026
hasa dawa yao unauza mzigo wote alafu unasepaWauza maduka ya nguo kino wengi wanalipwa 150,000 leo kampuni kubwa inamlipa dereva 130,000!
Hivi kweli kwa hali ya hapa Dar unamlipaje mtu mshahara wa Tsh 130,000 kwa mwezi? Mtu huyo anafamilia, analipa kodi, anasomesha, umeme, maji nk Ushahidi link hii hapa chini na screenshot zake, wasije wakabadilisha au kulitoa.
takuwa ni mshahara kwa wiki labda,,kwa mwezi haiwezekani,,,ntauza bidhaa zote na gari nauza pia nasepa zangu mtukula kufungua kioskHuwa najiuliza sana taasisi kama Forbes inatumia vigezo gani kumjua tajiri namba moja katika nchi husika. Wanashindwa hata kutembelea wafanyakazi wa kampuni za tajiri husika kuangalia hali zao nao zikoje?
Juzi hapa nilileta bandiko kuhusu mishahara ya wafanyakazi wanaofanya katika kampuni za matajiri hawa wawili hapa Tz, Mo Dewji na Bakhresa.
METL GROUP, BAKHRESA GROUP Kampuni kubwa Tanzania zisizojali Wafanyakazi wake
Nilieleza jinsi wanafunzi wa nchi kama Marekani, hata hapo Kenya wanavyotamani kufanya kazi katika kampuni za matajiri wa nchi zao.
Lakini kwa hapa Bongo mambo ni tofauti kabisa, wafanyakazi wa Mo na Bakhersa wanafanya kazi kwakua hakuna mbadala, ajira hakuna. Na hiki ndicho kigezo hutumia kuwanyonya wafanyakazi kwani wanajua hana pa kwenda hata kama mshahara ni mdogo.
Embu wana JF tuangalie hili tangazo la kampuni ya tajiri namba moja Tz, Dewji.
Ni la dereva atakae husika na mauzo pia.
Hivi kweli kwa hali ya hapa Dar unamlipaje mtu mshahara wa Tsh 130,000 kwa mwezi? Mtu huyo anafamilia, analipa kodi, anasomesha, umeme, maji nk Ushahidi link hii hapa chini na screenshot zake, wasije wakabadilisha au kulitoa.
Salesperson Cum Driver. in Dar Es Salaam
Yani hata kima cha chini hawaja kifikia. Mbaya zaidi Serikali inajua haya lakini wanashindana na Mange Kimambi mitandaoni.
Waziri wa kazi na ajira tekeleza majukumu yako, sioni sababu ya nyie kushikilia nafasi hizo huku wananchi wanabyonywa na hawa mabepari wanao zidisha umasikini kwa wananchi.
View attachment 718025View attachment 718026
kama ni tanker la mafuta yanakuwaga na lita 30,000-35,000,jamaa akishapanga kuwa leo naliangusha iwe isiwe,,basi akishaendambali sana,pengine mafuta yanaenda songea na anajua tajiri yupo dar,,anahakikisha lzm afike njombe au makambako usiku mkubwa,na akifika tu wese linamiminwa kwenye kisima cha sheli km lita 20,000,na huo mpango unakuwaga ushachongwa mapema kati ya dereva na tajiri wa sheli,km tajiri ananunua lita1 hadi kufikisha makambako labda ni 1800-basi hapo dereva anamletea hadi kituoni kwa 1200 mara lita 20,000 dereva anakomba milioni zake 24 safi,kisha taratibu saa kumi afajir anaanza kuondoka makambako akitafuta yale makona kona mengi pale mlimani mwanaume analilaza kiheshima mahali kisha analegeza vifuniko wese lililobaki liendelee kumwagika chini taratibu kabla wachomoa betri hawajafika kulimalizia wese lote,,ila miaka ya sasa naona hayo madili yamepungua maana matajiri wengi wanafunga ma camera na GPS,wanakusoma tu ukiwa njiani na unachokifanya,,,,kuna mmoja miaka ya 2004 alikua na lori lake limekula kinywaji ya TBL full,akafika njiani akauza kama nusu ya mzigo,alikua anatoka arusha kwenda singida,,wanadai mzigo aliuzia babati na lipofika maeneo ya sigino kwenye mlima logia akajidai limemshinda,akaruka lori likatumbukia shimoni,,ile kinywaji ya TBL ilobakia kwenye gari wanakijiji wa pale sigino walilewa kijiji kizima,,hata wale wasiokunywaga siku hiyo walitest kinywaj pendwa na wakalewa chakari,,ogopa hadi watoto na wamama walilewa,maana vijana na wababa walikua wanaenda eneo la ajali wanabeba makreti na kuyakimbiza kijijini majumbani kwao kisha wanarudi kuchukua tena,,wakati huo kule home watoto wanafungua chupa na kutest wakijua ni sodaAnafaidika vipi akilipigisha gari mzinga?