RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Sijui kwa kweli mkuu ila kama ni kweli basi kuna namna.
Au kuna posho katikati ya mwezi, bima ya afya na benefits nyingine....
200k kwenda chini hukatwi kodi nadhan
Hata hivyo kweli matajiri wa bongo wanyonyaji wanalipa kiduchu sana tofauti na matajiri wa nchi zingne