Sijui kwa kweli mkuu ila kama ni kweli basi kuna namna.
Au kuna posho katikati ya mwezi, bima ya afya na benefits nyingine....
200k kwenda chini hukatwi kodi nadhan
Hata hivyo kweli matajiri wa bongo wanyonyaji wanalipa kiduchu sana tofauti na matajiri wa nchi zingne
Mkuu ukiwa na shida huna choiceshida wafanyakazi wengi hawajitambui.. kazi ya mshahara laki na 30 unaandika barua ya kuiomba ya nini?
mfumo wetu wa elimu na maisha ni mbovu.. kuna graduates wengi sana wamefanya kazi hata 10 yrs wengine ila hana asset yeyote zaidi ya liabilities kibao... akiachishwa kazi umwambie atafute hata laki 3 kwa mwezi sawa na elfu 10 kila siku hawezi
Mkuu ukiwa na shida huna choice
Wale mabrazamen wana uhakika wa kupata elfu 5 mpk 10 kwa kuongezea cha juu,kwa mfano nguo ya elfu 15 kwa bei ya boss yy anaweza kuiuza hadi elfu 25Wauza maduka ya nguo kino wengi wanalipwa 150,000 leo kampuni kubwa inamlipa dereva 130,000!
Wale mabrazamen wana uhakika wa kupata elfu 5 mpk 10 kwa kuongezea cha juu,kwa mfano nguo ya elfu 15 kwa bei ya boss yy anaweza kuiuza hadi elfu 25
hivi kumbe wale mabrazamen na masister duu wanalipwa laki na nusu?Wauza maduka ya nguo kino wengi wanalipwa 150,000 leo kampuni kubwa inamlipa dereva 130,000!
Mfano kauza nguo kumi kwa siku kaongeza 5,000/- tu hio ni 50,000/-hivi kumbe wale mabrazamen na masister duu wanalipwa laki na nusu?
wanaishije hapa town?
Yaani ni shidaKuna mtu akiwanyoosha hawa mnasema anawachukia. Acheni tu wasiingiliwe maanake watafunga biashara halafu mtoe lawama mtetezi wa wanyonge anaua uchumi.
Mtu yeyote mwenye uchungu na nchi ukiingia deep na kuwajua vizuri hawa 'matajiri' ukipata nafasi lazima uwanyooshe
usitudanganye na uafrica wako wa kinyonyaji! bora uwe na wafanyakaz wachache unaowalipa vizuri kuliko wengi unaowalipa kidogo! dhambiKatika mfumo wa kibepari mfanyakazi ni gharama tu anaepunguza faida hivyo....the lower the cost the better...kwa maana nyingine lengo lake ni kuwa na gharama ndogo iwezekanavyo.....uhuru wa kweli ninkujiamini na kutafuta fursa inayoendana na thamani yako...